Kumwagilia mimea wakati wa jua kali

Mimi si mkulima, ila katika hali ya kawaida jua likisha fikia saa5 ardhi inanza kua na joto, kadri jua linavyo ongezeka na joto lina ngezeka kwenye ardhi. Unapo mwagia maji kuna mvuke wenye joto Kali utatokea ardhin kwakua unaipoza ardhi ghafla. Hii itasababisha mizizi ijeruhiwe na na joto hilo na kwakua ndio itakua kawaida yako inamaa kilasiku utakua una ujeruhi mmea mwishoe utadhoofika.
Yaap!.
 
Majibu mengine haya: Mmea una tishu hai ambazo hufunguka kuingiza au kutengeneza Chakula cha mmea na hufunga ili kuzuia mmea usipoteze chakula kilichotengenezwa. Sasa jua au joto likiwa kali mmea hufunga tishu zake zote ili kuzuia kupotea kwa Chakula, na jua likiongezeka basi husokota kabisa jani kuzuia tishu isifikiwe na joto. Sasa unapomwagilia mchana wakati mmea umeshatengeneza zuio au umeshafunga tishu, mmea unashtuka na kuzifungua tishu , tishu zinapofunguka angali joto ni kali bado basi kiwango cha Chakula kitakachopotea ni kikubwa sana . kama utafanya hivyo mara kwa mara , basi mimea yako itadumaa na kutozaa vizuri, pili kile kijani kitapotea kabisa. Basi mwagilia jioni au asubuhi sana saa 11 hadi 12.30 kama eneo lako ni la joto. Hii itausaidia mme kufunga tishu zake mapema kuzui kupotea kwa Chakula chake mchana .
Hayo ndio maneno.
 
Kuna watu humu sio wataalamu wa kilimo lakini wanambwembwe usipokuwa makini unawezakaamini maneno yao kuliko wale wataalamu wa ukweli ukweli. Mtoa mada kuna kichwa, changanya na zako upate majibu uliyoyakusudia..!!!
Ukiona mtu anaquote quote msome mara mbili mbili...
Ha haa. Ni kweli mkuu, hapa nitachekecha nichanganye na zangu. Ila nimefurahi watu wameshea experience zao vizuri, mada imepata flow
 
Majibu mengine haya: Mmea una tishu hai ambazo hufunguka kuingiza au kutengeneza Chakula cha mmea na hufunga ili kuzuia mmea usipoteze chakula kilichotengenezwa. Sasa jua au joto likiwa kali mmea hufunga tishu zake zote ili kuzuia kupotea kwa Chakula, na jua likiongezeka basi husokota kabisa jani kuzuia tishu isifikiwe na joto. Sasa unapomwagilia mchana wakati mmea umeshatengeneza zuio au umeshafunga tishu, mmea unashtuka na kuzifungua tishu , tishu zinapofunguka angali joto ni kali bado basi kiwango cha Chakula kitakachopotea ni kikubwa sana . kama utafanya hivyo mara kwa mara , basi mimea yako itadumaa na kutozaa vizuri, pili kile kijani kitapotea kabisa. Basi mwagilia jioni au asubuhi sana saa 11 hadi 12.30 kama eneo lako ni la joto. Hii itausaidia mme kufunga tishu zake mapema kuzui kupotea kwa Chakula chake mchana .
Jibu la kisayansi mkuu! Bila shaka tishu hizo ni xylem na phoem, moja ni ya kukontrol upotevu wa maji na nyingine ya chakula
 
Back
Top Bottom