Kumwagilia mimea wakati wa jua kali

Umejibu kisayansi sio hao wanasema mizizi sijui joto kali linaua tishu hizo ni nadharia hisishi
Kweli shule wengi tunakariri tu tumefundishwa photosynthesis hii ni sayansi ya elimu ya msingi yumkini aliyeuliza swali ana stashahada au shahada ila anaona kama kuruani vile

Na kilimo ni science kosa dogo una reduce mavuno tunabaki tunashangaa mbona mbegu haizalishi kama inavyitakiwa. Unaweza pia tazama msimu wa mvua mazao huwa mengi ila,kwenye jua mazao huwa machache miongoni mwa sababu ni maji
 
Kuna tendo linaitwa "transpiration"kwa lugha nyepesi ni kitendo cha mimea kupoteza maji kupitia vitundu (stomata) vilivyopo kwenye majani Sasa basi kiwango cha mmea kupoteza maji kinaongezeka pale jua linapoongezeka kwa hivo ukimwagilizia mimea mchana upotevu wa maji pia utakuwa mkubwa ukijumlisha na kiwango cha jua utapata jibu rahisi tu ambalo ni mimea kunyauka.
 
Habari zenu wandugu?
Naomba kufahamishwa athari za kumwagilia mimea shambani wakati jua limeshakua kali, lets say kuanzia jua la saa tano na kuendelea. Au ni kwanini watu wanasema 'jua limeshakua kali hatuwezi kumwagilia sasa, tusubiri jioni au kesho'. Ukiwauliza kwanini wanasema tu sio vizuri lakini hawana sababu ilio genuine. Nimeuliza hili kwa sababu nina ratiba ya kumwagilia lakini muda wa asubuhi au jioni sana unakua hauniruhusu. Yeyote mwenye ufahamu kama kuna madhara, yapi etc. Karibuni
Kuna watu wamekujibu hapo juu tayari ila ningependa ongezea kitu ambacho naona wengi hawajagusia!!

Dhumuni la kumwagilia ni kuhakikisha mmea unakua na unyevunyevu muda ambao unahitajika!!

Sio kwamba sio vizuri kumwagilia mchana, no! mchana unaweza mwagilia bila shida ILA sometimes hatushauri mtu amwagilie mchana ili kuepuka "evaporative loses"! kwamba unapomwagilia wakati wa mchana hasa kama kuna jua kali, basi kuna uwezekano baadhi ya maji yakapotelea angani kama mvuke yaani "evaporation"!

Kwa hiyo ili kuepuka evaporative loses ndio tunakwepa kumwagilia mchana!

Hiyo ni case one, case two...

Unaweza mwagilia mchana hata kama kuna jua kali ila itakubidi uongeze kiwango cha maji ili uweze kuwa na uhakika kwamba hata kama utakua na evaporatives losses basi mmea utakiwa na maji ya kutosha!!

Bottom line!

Tunakwepa kumwagilia mchana ili kuepuka upotevu wa maji kwa njia ya "evaporation"! Pia kumwagilia mchana hakuna madhara kwenye mmea as long as evaporative losses zitakua minimum ili kuruhusu mmea ubaki na maji!

Karibu!
 
kadri jua linavyo ongezeka na joto lina ngezeka kwenye ardhi. Unapo mwagia maji kuna mvuke wenye joto Kali utatokea ardhin kwakua unaipoza ardhi ghafla. Hii itasababisha mizizi ijeruhiwe na na joto hilo na kwakua ndio itakua kawaida yako inamaa kilasiku utakua una ujeruhi mmea mwishoe utadhoofika.
Kama mvuke unajeruhi mizizi au mmea kwa joto kali, je jua linachoma ardhi halijeruhi mmea kwa joto kali?

Umeandika vizuri ila bado kuna mambo unachanganya!

Yaani joto la mvuke linadhuru mmea je kama tusingeweka maji joto la jua lisingeweza kuumiza mmea?
 
Kuna tendo linaitwa "transpiration"kwa lugha nyepesi ni kitendo cha mimea kupoteza maji kupitia vitundu (stomata) vilivyopo kwenye majani Sasa basi kiwango cha mmea kupoteza maji kinaongezeka pale jua linapoongezeka kwa hivo ukimwagilizia mimea mchana upotevu wa maji pia utakuwa mkubwa ukijumlisha na kiwango cha jua utapata jibu rahisi tu ambalo ni mimea kunyauka.

Sasa kama ukimwagilia unanyauka je usipomwagilia na bado maji yanaendelea kupotea nini kitatokea?????
 
Kuna watu wamekujibu hapo juu tayari ila ningependa ongezea kitu ambacho naona wengi hawajagusia!!

Dhumuni la kumwagilia ni kuhakikisha mmea unakua na unyevunyevu muda ambao unahitajika!!

Sio kwamba sio vizuri kumwagilia mchana, no! mchana unaweza mwagilia bila shida ILA sometimes hatushauri mtu amwagilie mchana ili kuepuka "evaporative loses"! kwamba unapomwagilia wakati wa mchana hasa kama kuna jua kali, basi kuna uwezekano baadhi ya maji yakapotelea angani kama mvuke yaani "evaporation"!

Kwa hiyo ili kuepuka evaporative loses ndio tunakwepa kumwagilia mchana!

Hiyo ni case one, case two...

Unaweza mwagilia mchana hata kama kuna jua kali ila itakubidi uongeze kiwango cha maji ili uweze kuwa na uhakika kwamba hata kama utakua na evaporatives losses basi mmea utakiwa na maji ya kutosha!!

Bottom line!

Tunakwepa kumwagilia mchana ili kuepuka upotevu wa maji kwa njia ya "evaporation"! Pia kumwagilia mchana hakuna madhara kwenye mmea as long as evaporative losses zitakua minimum ili kuruhusu mmea ubaki na maji!

Karibu!

Nice na pia ikumbukwe mchana mmea unahitaji maji ili ujipoze,mwanadamu ukikaa juani unakimbilia kivulini ila mmea unatumia maji kujipoza wakati wa jua kali. Na miongoji mwa kazi za maji kwenye mmea ni hiyo

Ila pia evaporative losses ukiiconsider tambua pia kuna leaching losses ambayo ni kubwa sababu yanapotea maji na madini. Ukinyesha jioni maji hayatumiki na mmea na yanazama chini zaidi ya eneo ambalo mizizi ya mmea iko hivyo hujasaidia kitu, tunaponyesha tunaconsider hili water loss through leaching na water loss through evaporation
 
Kuna tendo linaitwa "transpiration"kwa lugha nyepesi ni kitendo cha mimea kupoteza maji kupitia vitundu (stomata) vilivyopo kwenye majani Sasa basi kiwango cha mmea kupoteza maji kinaongezeka pale jua linapoongezeka kwa hivo ukimwagilizia mimea mchana upotevu wa maji pia utakuwa mkubwa ukijumlisha na kiwango cha jua utapata jibu rahisi tu ambalo ni mimea kunyauka.
Mkuu unadhani ni kwanini tuna mwagilia?

Hapo kwenye bold, kupitia transpiration mmea unapoteza maji na tuna mwagilia ili kuhakikisha kiwango kinachopotea kwa transipiration au evapo-transpiration kinakua counteracted kwa kuongeza maji kupitia umwagiliaji!!

Kwa kifupi, jua likiongezeka, water losses kwa evapo-transpiration pia inaongezeka na hapa mmea unapoteza maji so ni lazima umwagilie ili kuhakikisha mmea haukaki kwa kukosa maji hasa yanapopotea kupitia transpiration!!
 
Ila pia evaporative losses ukiiconsider tambua pia kuna leaching losses ambayo ni kubwa sababu yanapotea maji na madini. Ukinyesha jioni maji hayatumiki na mmea na yanazama chini zaidi ya eneo ambalo mizizi ya mmea iko hivyo hujasaidia kitu, tunaponyesha tunaconsider hili water loss through leaching na water loss through evaporation
Ni kweli kabisa mkuu, miaka hiyo tulikua tuna design bila ku-consider "leaching requirements" yaani maji yanayopotea kwa "deep percolation" kumbe tulikua wrong!!

Kwa kuongezea tu, leaching requirements sio muda wote ni losses ila sometimes inatumika kama njia ya kuondoa chumvi chumvi kwenye root zone ya mmea!!

Nice observation though!!
 
Majibu mengine haya: Mmea una tishu hai ambazo hufunguka kuingiza au kutengeneza Chakula cha mmea na hufunga ili kuzuia mmea usipoteze chakula kilichotengenezwa. Sasa jua au joto likiwa kali mmea hufunga tishu zake zote ili kuzuia kupotea kwa Chakula, na jua likiongezeka basi husokota kabisa jani kuzuia tishu isifikiwe na joto. Sasa unapomwagilia mchana wakati mmea umeshatengeneza zuio au umeshafunga tishu, mmea unashtuka na kuzifungua tishu , tishu zinapofunguka angali joto ni kali bado basi kiwango cha Chakula kitakachopotea ni kikubwa sana . kama utafanya hivyo mara kwa mara , basi mimea yako itadumaa na kutozaa vizuri, pili kile kijani kitapotea kabisa. Basi mwagilia jioni au asubuhi sana saa 11 hadi 12.30 kama eneo lako ni la joto. Hii itausaidia mme kufunga tishu zake mapema kuzui kupotea kwa Chakula chake mchana .
Kwani mmea iliutengeneze chakula unahitaji nini na nini?mmea unaweza tengenezea chakula wakati wa jioni wkt jua hamna?
 
Umejibu kisayansi sio hao wanasema mizizi sijui joto kali linaua tishu hizo ni nadharia hisishi
Kweli shule wengi tunakariri tu tumefundishwa photosynthesis hii ni sayansi ya elimu ya msingi yumkini aliyeuliza swali ana stashahada au shahada ila anaona kama kuruani vile
Asante nawe umechangia kwenye thread yangu. Mana mradi kuandika chochote.
 
Kuna tendo linaitwa "transpiration"kwa lugha nyepesi ni kitendo cha mimea kupoteza maji kupitia vitundu (stomata) vilivyopo kwenye majani Sasa basi kiwango cha mmea kupoteza maji kinaongezeka pale jua linapoongezeka kwa hivo ukimwagilizia mimea mchana upotevu wa maji pia utakuwa mkubwa ukijumlisha na kiwango cha jua utapata jibu rahisi tu ambalo ni mimea kunyauka.
Asante sana mkuu
 
Kuna watu wamekujibu hapo juu tayari ila ningependa ongezea kitu ambacho naona wengi hawajagusia!!

Dhumuni la kumwagilia ni kuhakikisha mmea unakua na unyevunyevu muda ambao unahitajika!!

Sio kwamba sio vizuri kumwagilia mchana, no! mchana unaweza mwagilia bila shida ILA sometimes hatushauri mtu amwagilie mchana ili kuepuka "evaporative loses"! kwamba unapomwagilia wakati wa mchana hasa kama kuna jua kali, basi kuna uwezekano baadhi ya maji yakapotelea angani kama mvuke yaani "evaporation"!

Kwa hiyo ili kuepuka evaporative loses ndio tunakwepa kumwagilia mchana!

Hiyo ni case one, case two...

Unaweza mwagilia mchana hata kama kuna jua kali ila itakubidi uongeze kiwango cha maji ili uweze kuwa na uhakika kwamba hata kama utakua na evaporatives losses basi mmea utakiwa na maji ya kutosha!!

Bottom line!

Tunakwepa kumwagilia mchana ili kuepuka upotevu wa maji kwa njia ya "evaporation"! Pia kumwagilia mchana hakuna madhara kwenye mmea as long as evaporative losses zitakua minimum ili kuruhusu mmea ubaki na maji!

Karibu!
Asante sana ndugu kwa elimu hii
 
Kama mvuke unajeruhi mizizi au mmea kwa joto kali, je jua linachoma ardhi halijeruhi mmea kwa joto kali?

Umeandika vizuri ila bado kuna mambo unachanganya!

Yaani joto la mvuke linadhuru mmea je kama tusingeweka maji joto la jua lisingeweza kuumiza mmea?
Good argument sir/madam.
 
Majibu mengine haya: Mmea una tishu hai ambazo hufunguka kuingiza au kutengeneza Chakula cha mmea na hufunga ili kuzuia mmea usipoteze chakula kilichotengenezwa. Sasa jua au joto likiwa kali mmea hufunga tishu zake zote ili kuzuia kupotea kwa Chakula, na jua likiongezeka basi husokota kabisa jani kuzuia tishu isifikiwe na joto. Sasa unapomwagilia mchana wakati mmea umeshatengeneza zuio au umeshafunga tishu, mmea unashtuka na kuzifungua tishu , tishu zinapofunguka angali joto ni kali bado basi kiwango cha Chakula kitakachopotea ni kikubwa sana . kama utafanya hivyo mara kwa mara , basi mimea yako itadumaa na kutozaa vizuri, pili kile kijani kitapotea kabisa. Basi mwagilia jioni au asubuhi sana saa 11 hadi 12.30 kama eneo lako ni la joto. Hii itausaidia mme kufunga tishu zake mapema kuzui kupotea kwa Chakula chake mchana .
Hili ndio jibu...
 
Kuna watu humu sio wataalamu wa kilimo lakini wanambwembwe usipokuwa makini unawezakaamini maneno yao kuliko wale wataalamu wa ukweli ukweli. Mtoa mada kuna kichwa, changanya na zako upate majibu uliyoyakusudia..!!!
Ukiona mtu anaquote quote msome mara mbili mbili...
 
Back
Top Bottom