ONJO
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 215
- 261
Habari za mda ndugu zangu.
Moja kwa moja kwenye mada
Kumwaga mbegu za kiume au za kike ni hatari kwa afya.πͺπͺπͺπͺπͺπͺ
Nayaandika haya nikitumia Biblia Kama Mwongozo wa maisha,Kwani kwa kuamini yaliyoandikwa ndipo tunakuwa na maisha marefu.
Maisha marefu Kwasababu kuna ufufuo kwa wale watakaoishi Kama Mungu anavyotaka.
Maisha mafupi Kwasababu ya kutoamini neno la Mungu,
Kumbe urefu wa maisha upo katika kumcha Mungu..Kuishi miaka mingi bila kumjua Mungu Ni hasara.
Naam imeandikwa Mwanzo 38
Ukiendelea hapo chini yake utaona Bwana Mungu akamua huyo Onani.
Jambo hili kwa kizazi chetu limekuwa mazoea kwa vijana wake kwa waume.
ππππ
Kufanya ngono kabla ya mda wa kuoa,
Kijana anajua kabisa kuwa huu si wakati rasmi wa kufanya mapenzi,anachokifanya anavaa kondomu ili asimpatie binti mimba.
Je hiyo sio kumwaga nje?
Na mwingine kupiga punyeto usiku na mchana nayo ni kumwaga mbegu nje kabla ya wakati.
Mfalme sulemani alifundisha akisema"Nawasihini enyi binti za yerusalemu msiyachochee Wala kuyaamsha mapenzi mpaka menyewe yatakapoona kuwa ni vema"Wimbo ulio bora 3:5
Watanzania acheni kuwaka tamaa za kimapenzi.
Kwahiyo mnaweza mkaona kuwa kumwaga mbegu ni dhambi mbele ya Mungu.
Mabinti nao wanakila aina ya vidoge vya kuzuia mimba badala wasubiri mda wa kuolewa wanaona Ni starehe kufanya mapenzi kila siku,
Enyi mabinti aina ya kina Onani, Enyi vijana aina ya kina Onani.Mnajali kutimiza haja za mapenzi kuliko kutunza utu wenu.
Kama Onani hakutaka kumwagia mbengu zake ndani, kwanini alikubali kulala naye?hapa ni hakika kabisa alitaka kuonja utamu wa mke wa ndugu yake ni sio kumzalia.
ACHENI KUFANYA MAPENZI KABLA YA WAKATI
kwanini mnadhubutu kupoteza mbolea adimu Kama hiyo,yapaswa kuihifadhi kwaajili ya mtu mmoja, atakaye furahia kwa upendo wa Kweli.
BASI KUPIGA PUNYETO NA KUMWAGA MBEGU NJE KWA KUVAA KONDOMU NI KOSA AU DHAMBI.
Kwamaana imeandikwa yeye amtazamaye Mwanamke kwa kumtamani amekwisha zini naye moyoni.Bwana Yesu alimaanisha tusifikirie kufanya mapenzi kwenye akili zenu mpaka wakati wa kuoa na kuolewa utakapofika.
πππππππΉπΏ
Na ONJO Mpenzi wenu.
Moja kwa moja kwenye mada
Kumwaga mbegu za kiume au za kike ni hatari kwa afya.πͺπͺπͺπͺπͺπͺ
Nayaandika haya nikitumia Biblia Kama Mwongozo wa maisha,Kwani kwa kuamini yaliyoandikwa ndipo tunakuwa na maisha marefu.
Maisha marefu Kwasababu kuna ufufuo kwa wale watakaoishi Kama Mungu anavyotaka.
Maisha mafupi Kwasababu ya kutoamini neno la Mungu,
Kumbe urefu wa maisha upo katika kumcha Mungu..Kuishi miaka mingi bila kumjua Mungu Ni hasara.
Naam imeandikwa Mwanzo 38
Ukiendelea hapo chini yake utaona Bwana Mungu akamua huyo Onani.
Jambo hili kwa kizazi chetu limekuwa mazoea kwa vijana wake kwa waume.
ππππ
Kufanya ngono kabla ya mda wa kuoa,
Kijana anajua kabisa kuwa huu si wakati rasmi wa kufanya mapenzi,anachokifanya anavaa kondomu ili asimpatie binti mimba.
Je hiyo sio kumwaga nje?
Na mwingine kupiga punyeto usiku na mchana nayo ni kumwaga mbegu nje kabla ya wakati.
Mfalme sulemani alifundisha akisema"Nawasihini enyi binti za yerusalemu msiyachochee Wala kuyaamsha mapenzi mpaka menyewe yatakapoona kuwa ni vema"Wimbo ulio bora 3:5
Watanzania acheni kuwaka tamaa za kimapenzi.
Kwahiyo mnaweza mkaona kuwa kumwaga mbegu ni dhambi mbele ya Mungu.
Mabinti nao wanakila aina ya vidoge vya kuzuia mimba badala wasubiri mda wa kuolewa wanaona Ni starehe kufanya mapenzi kila siku,
Enyi mabinti aina ya kina Onani, Enyi vijana aina ya kina Onani.Mnajali kutimiza haja za mapenzi kuliko kutunza utu wenu.
Kama Onani hakutaka kumwagia mbengu zake ndani, kwanini alikubali kulala naye?hapa ni hakika kabisa alitaka kuonja utamu wa mke wa ndugu yake ni sio kumzalia.
ACHENI KUFANYA MAPENZI KABLA YA WAKATI
kwanini mnadhubutu kupoteza mbolea adimu Kama hiyo,yapaswa kuihifadhi kwaajili ya mtu mmoja, atakaye furahia kwa upendo wa Kweli.
BASI KUPIGA PUNYETO NA KUMWAGA MBEGU NJE KWA KUVAA KONDOMU NI KOSA AU DHAMBI.
Kwamaana imeandikwa yeye amtazamaye Mwanamke kwa kumtamani amekwisha zini naye moyoni.Bwana Yesu alimaanisha tusifikirie kufanya mapenzi kwenye akili zenu mpaka wakati wa kuoa na kuolewa utakapofika.
πππππππΉπΏ
Na ONJO Mpenzi wenu.