Acha mama nawajua fureshi mtu yeyote akijua anapendwa kifuatacho ni maringo na nyodo kwa mpendaji badala akulipe kwa wema ndo kwanza unalizwa tuYaaan alichokizungumza hapa ni vise versa, hii ni tabia ya wanaume!
Mwanaume ukilogwa ukamuonesha unapenda, utajuta!...ni utanyanyaswa, dharau, kiburi, na kuamini kuwa huna pa kwenda! Nina ushahidi wa ndugu zangu, marafiki zangu waliofanyiwa hivo na wanaume zao!
Utamjali nani sasa?kumjali mwanamke... never sitakuja kufanya huo upumbavu!
Kweli kabisaexperience yako na madem haijustify unachokisema
no formula kwny hiz mavitu
better stay focused, unaeza kua unablame ila ukija kuchek tatzo n ww
AhahahaaaaaaNamuangalia kene facebook yake simupati waeza nitumia email yake
Kweli kabisa swala hili ni kwa pande zote sema wanaume wengi hupenda kujivika umalaika.Yaaan alichokizungumza hapa ni vise versa, hii ni tabia ya wanaume!
Mwanaume ukilogwa ukamuonesha unapenda, utajuta!...ni utanyanyaswa, dharau, kiburi, na kuamini kuwa huna pa kwenda! Nina ushahidi wa ndugu zangu, marafiki zangu waliofanyiwa hivo na wanaume zao!
Sitaki ujue. Kwanza njoo tupikeSaint Ivuga ni kweli hii..njoo tupe experience yako mana ww mpk leo uko na huyo mzungu
Mmarekani mweusi
Chakula cha kizunguSitaki ujue. Kwanza njoo tupike
malizia na terminology yao mpya dangaUko sawa mkuu bimademu ba kibongo shuruti tu ndo mnaenda Sawa, ata awe mzuri kiasi gani ukimwonesha unampenda utaitwa majina. yote,Mara Kisoda na mengineo,natakutesa Balaa
Sawa popomaVidemu vya uswahili ni shida sana Mimi nipo kademu cha kifaransa uku Senegal kimtndo yanasonga
Sasa si uendelee nae huyo mzungu?Hapo vip!!
Nimekuja kugundua kunatofauti kubwa sana kati ya mwanamke wa kiafrika na mwanamke wa kizungu.
Binafsi nimeshakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu ambaye ni Mspain,pia na wanawake wa kiafrika.
Tofauti.
Mwanamke wa kiafrika ukimuonyesha unampenda tegemea yafuatayo :-
1.Anakuwa na kiburi then anatumia hiyo hali kama nafasi ya kukutesa.
2.care inakuwa zero,hawezi kujali,yaani usipo angalia utakuwa mtumwa wa ndoa.
3.Ni raisi sana kukucheat au kuchepuka na wahuni kwasababu ameshajua unampenda Sana.
4.Atakuringia sana na kuonyesha madharau ya kishamba huku moyoni ukukata mawasiano anaanza kukutafuta mwenyewe bila haya.
5.Tegemea majibue ya karaa,yasiyobembeleza.
6.Atatumia nafasi hiyo kukutawala
Nimegundua dawa ya hao nikuonyesha hauwajali na hauwapendi becouse wameumbwa waonyeshe hivyo,kama babu zetu zamani ndio maana wamedumu nao.
Mzungu.
Mimi nilishakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu anaitwa Alicia Merino.
1.Anaheshimu hisiana za mpenzi wake.
2.Akijua umempenda inakuwa two ways traffic,atakuwa na ww karibu achunguze na ajiridhishe kama kweli unampenda.
3.Mkitoka out kula mingo anakuambia please my love,you can't pay everything.
4.wanacare sana sijawahi kuona.
5.wapo open-minded.
6.wanawahishimu Sana wapenzi wao.
Of course now yupo Denmark anasoma master.
Usemayo ni kweli kabisa. Akiona umeanza kupunguza mawasiliano, anaanza kukusumbua na malalamiko juu. Wa hivyo unasepa km ndege ya malaysiaHapo vip!!
Nimekuja kugundua kunatofauti kubwa sana kati ya mwanamke wa kiafrika na mwanamke wa kizungu.
Binafsi nimeshakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu ambaye ni Mspain,pia na wanawake wa kiafrika.
Tofauti.
Mwanamke wa kiafrika ukimuonyesha unampenda tegemea yafuatayo :-
1.Anakuwa na kiburi then anatumia hiyo hali kama nafasi ya kukutesa.
2.care inakuwa zero,hawezi kujali,yaani usipo angalia utakuwa mtumwa wa ndoa.
3.Ni raisi sana kukucheat au kuchepuka na wahuni kwasababu ameshajua unampenda Sana.
4.Atakuringia sana na kuonyesha madharau ya kishamba huku moyoni ukukata mawasiano anaanza kukutafuta mwenyewe bila haya.
5.Tegemea majibue ya karaa,yasiyobembeleza.
6.Atatumia nafasi hiyo kukutawala
Nimegundua dawa ya hao nikuonyesha hauwajali na hauwapendi becouse wameumbwa waonyeshe hivyo,kama babu zetu zamani ndio maana wamedumu nao..