Kumuenzi Mwl Nyerere

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,215
3,587
Je, inatosha kumuenzi Mwl Nyerere kwa kukimbiza Mwenge wa Uhuru tu? Hatuna mbadala wa Mwenge kama namna ya kumuenzi Mwl? Agenda ya Mwl iliishia kwenye uhuru tu? Wakati wa Magufuli, Chama kupitia Mwenezi taifa wake, kilimuenzi Mwl nje ya mipaka ya nchi kwa kwenda Beijing kufanya midahalo mikubwa ikishirikiana na CPC ambapo machapisho ya Mwl yalihuishwa na kufanya China kuvitafsiri kwenye lugha yao na kuanza kutumia mawazo ya Mwl katika kusaka maendeleo zaidi. Hivyo ni vyama je, kiserikali Mwl anaenziwa na Mwenge wa Uhuru tu? Midahalo inayofanyika locally ina impact gani? Je, tunaweza kupima matokeo ya midahalo hiyo ya ndani? Kigoda cha Mwl kimemuuzaje/kimemuenzije Mwl? Tunaweza kupima matokeo ya Kigoda hicho?


R.a910f03fa1ca0e05505528edcf2e19ea

Taswira kwa hisani ya google.
 
Je, inatosha kumuenzi Mwl Nyerere kwa kukimbiza Mwenge wa Uhuru tu? Hatuna mbadala wa Mwenge kama namna ya kumuenzi Mwl? Agenda ya Mwl iliishia kwenye uhuru tu? Wakati wa Magufuli, Chama kupitia Mwenezi taifa wake, kilimuenzi Mwl nje ya mipaka ya nchi kwa kwenda Beijing kufanya midahalo mikubwa ikishirikiana na CPC ambapo machapisho ya Mwl yalihuishwa na kufanya China kuvitafsiri kwenye lugha yao na kuanza kutumia mawazo ya Mwl katika kusaka maendeleo zaidi. Hivyo ni vyama je, kiserikali Mwl anaenziwa na Mwenge wa Uhuru tu? Midahalo inayofanyika locally ina impact gani? Je, tunaweza kupima matokeo ya midahalo hiyo ya ndani? Kigoda cha Mwl kimemuuzaje/kimemuenzije Mwl? Tunaweza kupima matokeo ya Kigoda hicho?
Asante kutukumbusha.
Huwa tunamuenzi Mwalimu kwa kuzima mwenge
Wanabodi,

Hili ni swali tuu najiuliza kuhusu hizi mbio za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea sasa. Kwenye Mwenge kinachokimbizwa nchi nzima, jee kweli ni ule mwanga tuu
Ingekuwa ni Amri Yake, Magufuli Angefutilia Mbali Mbio za Mwenge!, Jee Ni Amri ya Nani?!.

Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru
Leo siku ya Nyerere day katika kumdurusu Mwalimu Nyerere kuna maswali najiuliza Kumuenzi Baba wa Taifa:CCM, Serikali, Viongozi na Watanzania kwa Ujumla, Je Tunamuenzi Baba wa Taifa kwa Mawazo, Maneno na kwa Vitendo?, Tunamuishi?.
Nawatakia maadhimisho mema na mapumziko mema ya Nyerere Day.

P
 
Back
Top Bottom