Kumtukana Rais Samia hadharani ni uhaini

Kumtukana Rais Samia hadharani ni uhaini

Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Takbiiiiir ….weka matusi hayo hapa
 
Serikali tia pamba masikioni weka ndani hao miezi 6 uchunguzi haujakamilika..... ya huko ndani msituambie ila wakitoka hawataweza hata kusimulia.
 
Hizi ndizo tafsiri za neno uhaini

1. Tendo la kusaliti nchi yako, mipango ya kupindua serikali

2. Tendo la kuvunja mkataba au kufanya jambo kinyume cha lile ambalo uliahidi kwa mfano kula amana ya mtu

Katika tafsiri zote mbili kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili, sioni hata moja inayoendana na tuhuma ulizozitaja...
Kwa hii tafsiri mtuhumiwa namba moja yuko wazi kabisa na ninaogopa kumtaja maana nikimtaja hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Hivi Nape na TCRA yake wako wapi. Au Nape anafurahia bosi wake kudhalilishwa, waziri wa mambo ya ndani jana katoa maelekezo yake tusubiri utekelezaji, nimempenda Eng. Masauni. Nape NNauye km vipi achia ngazi si unaruhusu rais wetu kudhalilishwa labda km umeridhika na unafurahia
 
Kwenye mkataba wa DPW haujaona Saini ya President? Sasa tukisema ameuza bandari ni tusi? Tukisema bora chifu mangungo wa msovero kuliko chifu hangaya wa zanzibar kwenye mikataba ni tusi? Madalali wenzako Kitenge na Musukuma wamepewa V8 na waarabu ,wewe umepewa nini?
we hata mamako aliyekuzaa ni mpumbavu, unajua kusoma? Umeusoma mkataba wenyewe? Kima lisilo na aibu
 
Hao watu wanashida sana , wanaulizwa mkataba ni wa muda gani kimya? Wanaulizwa kwa nini mgawe kwa mtu mmoja bandari zote za bahari na bandari za maziwa makuu kimya? Wanaulizwa mnaona mlichosaini kina faida kwa nchi hawajibu, wanakimbilia oohh kwakua mzanzibar haya kama mnajua ni mzanzibar kwa nini ayafanye hayo sehemu ambapo sio zanzibarutasikia ooohhh ni udini wanaulizwa kwani dini inaingiaje kwenye bandari wako kimya hawa jamaa wa ajabu kwelikweli
sasa mbwa km wewe aelezejwe km mpaka waziri mkuu amejitahidi kufafanua huelewi, sasa msijelalamika, nyie si wanaume, ngoja muanze kupotea moja moja
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kama ungetoa angalau mfano wa matusi aliyotukanwa ungeonekana Unazo kumkichwa. Ila kwa hapa Unalako jambo!!
 
Hao watu wanashida sana , wanaulizwa mkataba ni wa muda gani kimya? Wanaulizwa kwa nini mgawe kwa mtu mmoja bandari zote za bahari na bandari za maziwa makuu kimya? Wanaulizwa mnaona mlichosaini kina faida kwa nchi hawajibu, wanakimbilia oohh kwakua mzanzibar haya kama mnajua ni mzanzibar kwa nini ayafanye hayo sehemu ambapo sio zanzibarutasikia ooohhh ni udini wanaulizwa kwani dini inaingiaje kwenye bandari wako kimya hawa jamaa wa ajabu kwelikweli
Kwa kuongezea, ni tenda gani walitangaza ili makampuni yapimwe kulingana na sheria za nchi znavotaka? Sheria za manunuzi au uwekezaji zilizingatiwa ?
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Rais asitukanwe akiwa kama nani,? uliyoyaandika ni pumbavu, unayemlinda kupitia maandishi yako ni mpumbavu, wewe pia ni mpumbavu, kizazi cha washenzi!
 
we hata mamako aliyekuzaa ni mpumbavu, unajua kusoma? Umeusoma mkataba wenyewe? Kima lisilo na aibu

Ukiona mtu badala ya kujibu hoja anaaza matusi basi jua huyo ni empty set aka empty head aka zero brain.

Mkataba upo kila sehemu ,mkataba ushachambuliwa na wababozi wa sheria kama kina Prof Shivji ,Lissu ,Dr Slaa ,TLS ,Wakili msomi Boniface na wote wameona kabisa mkataba ni wa kichifu mangungo ,mkataba mbovu wa kupiga mnada bandari zetu za tanganyika ila wewe TABULASA aka Dalali unachezesha taya tu wenzako wamepewa V8 na muarabu sijui wewe umepewa nini.
 
sasa mbwa km wewe aelezejwe km mpaka waziri mkuu amejitahidi kufafanua huelewi, sasa msijelalamika, nyie si wanaume, ngoja muanze kupotea moja moja

Waziri mkuu ndiyo nani wewe empty set? Kwani yeye hawezi kutupiga mchanga wa macho? Wapi kwenye mkataba wameandika kwamba tutawapa gati 1 mpaka 4? Huyo Waziri mKuu si ndiyo alituambia JPM mzima wa afya anachapa kazi ikulu?

Usimtegemee binadamu katika kufikiri as if wewe haujui kusoma huo mkataba mkapa uambiwe na msigwa au katelephone ,mbona lugha ya kawaida iliyoandikwa mule? Mwambie Msigwa au katelephone atuonyeshe wapi wameandika kwamba watatoa ajira elfu 71?
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Mbona hujataja jina kamili sehemu ulipo na namba za simu tuweze kukupata kipindi cha teuzi
 
Back
Top Bottom