Kumtafuta mchepuko wa mumeo

Kumtafuta mchepuko wa mumeo

Achana nae Nawe jifanye Upo busy ahisi kama unachepuka hivi na usimjali kabisa utamuona atabadilika mnakaa ndani hata humstui mmeo kumrusha roho anakuona dada ake
Kweli kabisa lazima aanze kujithamini mwenyewe ndo atathaminiwa, akimrusha roho kidogo tuu lazima mwanaume atapata wivu.
 
Achana nae Nawe jifanye Upo busy ahisi kama unachepuka hivi na usimjali kabisa utamuona atabadilika mnakaa ndani hata humstui mmeo kumrusha roho anakuona dada ake
Nitalitendea kazi my dear asantee
 
Ushauri mtandaoni ushauri toka kwa wabobevu ambao wote ndoa ni kiza mbele ya macho Yao.
Jipe muda mradi ushamchana ukweli wanaume huwa tuna nafasi ya majuto inabakiaga empty ila muda una jibu lako.
#Ninge kibao
 
Achana na habari za kumfatilia Ila kuwa na msimamo
 
Nitayatafuta kwakweli asante sana ndugu yangu
Na ukitaka kupambana pambana na mchumba wako aache michepuko, michepuko inakuja na mengi sana ya kuharibu kumbuka mchepuko siku zote anamjua mke lakini mke hajui, mchepuko anaweza ata kumdhuru mke ili aolewe yeye.. ni heri kuwa single kuliko kuwa na mume mchepukaji kila Kona.. pambana na mchumba wako awe na tabia njema achana na michepuko yake.
 
Huyo jamaa yako hakupendi,hakuheshimu,hana hisia na wewe,hajali kwa hatua yeyote utakayoichukua dhidi yake,

Ushauri wangu ni kwamba,huyo mwanaume hakufai achana nae haraka sana,life is too short kuishi kwa mashaka mashaka au kuishi bila ya kua na furaha,

Achana na hicho kiumbe,rudi kwenu au kaishi peke yako,unapopotea njia ni vizuri kutulia na kuianza safari yako upya tena,huyo akisha kuoa atakutesa sana na utajuta,wake up and live.
 
Nitalitendea kazi my dear asantee
Nakushauri usiufuate huo ushauri. Mke wa Kaisari aliachika kwa kuhisiwa anachepuka licha ya uchunguzi kuonyesha kuwa hachepuki. Mumewe alimuacha huku akidai Mke wa kaisari hapaswi kuhisiwa kuwa anachepuka.

Ushauri wangu, ombea hako kaupendo kadogo ambako jamaa bado anako kwako kasiishe kwa maana hako ndo kanawaunganisha bado. Hako kaupendo kakihamia mazima kwa mchepuko utabadilishwa jina na kuitwa single mother
 
Habari za muda huu ndugu zangu,,
Ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko.. mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.

Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana qimu hadi saa kumi na mbili asubuhi.

Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote " unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.

Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.

Je ni sawa nikimtafuta huyo dada?
Deal na wako, huyo dada hana hatia yyt amependwa kama wewe ulivyokuwa unapendwa!
 
Na ukitaka kupambana pambana na mchumba wako aache michepuko, michepuko inakuja na mengi sana ya kuharibu kumbuka mchepuko siku zote anamjua mke lakini mke hajui, mchepuko anaweza ata kumdhuru mke ili aolewe yeye.. ni heri kuwa single kuliko kuwa na mume mchepukaji kila Kona.. pambana na mchumba wako awe na tabia njema achana na michepuko yake.
Nikushukuru sana sana.. nitajitajidi na MUNGU anisaidie kwakweli
 
Huyo bwana ako hana heshima wala mapenzi na wewe
Kumtafuta huyo mchepuko wa bwana ako ni ujinga ila Pole mwaya
 
Habari za muda huu ndugu zangu,,
Ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko.. mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.

Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana qimu hadi saa kumi na mbili asubuhi.

Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote " unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.

Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.

Je ni sawa nikimtafuta huyo dada?
Duu! Umenikumbusha uzi wa kamanda DeepPond nesi kumpa dozi ya dawa ya matone mumewe hadi kuwa hanithi na hadi kufa kabisa. Chanzo huanza hivi kama masihara vile.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nakushauri usiufuate huo ushauri. Mke wa Kaisari aliachika kwa kuhisiwa anachepuka licha ya uchunguzi kuonyesha kuwa hachepuki. Mumewe alimuacha huku akidai Mke wa kaisari hapaswi kuhisiwa kuwa anachepuka.

Ushauri wangu, ombea hako kaupendo kadogo ambako jamaa bado anako kwako kasiishe kwa maana hako ndo kanawaunganisha bado. Hako kaupendo kakihamia mazima kwa mchepuko utabadilishwa jina na kuitwa single mother
Kwa hiyo yeye awe busy anaombea hako kaupendo ili hali mwanaume yuko busy ana enjoy 🤣 huo si utumwa jamani. Kwani nani kasema single maza hawaolewi na pia sio lazima kuolewa kama hujampata mtu sahihi wa kuthamini upendo wako kwake.
 
Wala usimtafute jitahidi uwe mtu wa furaha usimuulize kitu huyo mumeo vaa pendeza usiwe mtu wa kujali kuchelewa kwake japo ina kera sana uone kama haja badilika
Kama huyo mwanaume anampenda atabadilika,ila kama hampendi ansishi naye tu kwa sababu ya mtoto ndo atazidisha vituko na mwisho wa siku atashangaa na mtoto kazaliwa,ni huzuni kwa kweli
 
Huu ushauri wako kwa MWANAMKE ambaye alishapenda na kumchukulia mwanaume aliyenae kama ndio soul mate wake ni ngumu kuufuata maana moyo ulishapenda, moyo ulisharidhika, moyo ulishataka na kujiaminisha kuwa ni mimi tu. Sasa sijui kama atakuelewa. Let's see bro
Point nzuri sana hii
 
Habari za muda huu ndugu zangu,,
Ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko.. mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.

Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana qimu hadi saa kumi na mbili asubuhi.

Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote " unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.

Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.

Je ni sawa nikimtafuta huyo dada?
Ondoka Haraka.... Furaha yako ni Muhimu.

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom