Mpe tiGoHabari za muda huu ndugu zangu,,
Ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko.. mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.
Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana qimu hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote " unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.
Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.
Je ni sawa nikimtafuta huyo dada?
Asante sana nashukuru nimekuelewaUkimtafuta mchepuko ndo utazidi kuumia na atakuwa anakurusha roho, cha kufanya kuwa busy na issue zako kama huna kazi , tafuta kitu cha kukufanya uwe busy, jitahidi kuvaa, kupendeza na wikiend kutoka out na mwanao ata kwenda kula mihogo tuu au kutembelea ndugu, yani mume akiwa busy na mchepuko nawe kuwa busy na shughuli zako agiza hata chipsi kuku na big pepsi kulaaaaa, life is too short, tafuta pesa tafuta pesa .
Asante nashukuru.. Sometimes akimpigia hapokei kama nipo au laah anatoka nje mbali kabisa na nyumba ndo akaongeeNi jambo moja mwanaume wako kuchepuka kisiri na akawasiliana na mchepuko wake wala usijue...lakini ni jambo lingine kabisa kwa mwanaume wako ambaye hajakuoa kuanza kuongea na mchepuko wake muda wowote hata saa 12 asubuhi. Huyo hakupendi, hakujali, hajali hisia zako wala hajali hatua yoyote utakayochukua. Kama kuolewa tu ni kipaumbele chako...olewa. Kama kipaumbele chako ni ndoa yenye furaha nadhani hapo sio penyewe. Samahani lakini. Kuzaa kusikufanye ujute maisha yako yote. Kuna watu nawajua wamezaa kabla ya ndoa na wakaolewa na watu waliojua thamani ya mwanamke.
Kwaweli sijawahi ndugu yangu ndo kwanza nilitaka nimtafute huyu .. huwa sipendi sana kuhangaika na michepuko yake lakini huyu kwakweli kazidi mpaka ananitia wasiwasi...Utaendelea kutafuta michepuko ya huyo Mwanaume mpaka lini kipenzi?

kaona isiwe tabu kaikausha kwa pasi sasa ndo najiuliza ina maana huyo dada ndo muhimu kiasi hikiAsante sana nashukuru na nimekuelewa piaUkimtafuta mchepuko ndo utazidi kuumia na atakuwa anakurusha roho, cha kufanya kuwa busy na issue zako kama huna kazi , tafuta kitu cha kukufanya uwe busy, jitahidi kuvaa, kupendeza na wikiend kutoka out na mwanao ata kwenda kula mihogo tuu au kutembelea ndugu, yani mume akiwa busy na mchepuko nawe kuwa busy na shughuli zako agiza hata chipsi kuku na big pepsi kulaaaaa, life is too short, tafuta pesa tafuta pesa .
Haha nadhani unakitu unachotaka kumshauri ila hutaki kukiweka public hapa.☺️
We mwambie tu
Mapenzi hayana ushauri mkuu.Haha nadhani unakitu unachotaka kumshauri ila hutaki kukiweka public hapa.☺️
We mwambie tu
Asante sana nimekuelewa nduguKwa afya ya roho na mwili wako nakushauri usimtafute huyo mchepuko.
Kama unampenda mumeo na anakutreat vema, hakupigi na anakupa haki zako kama mke na mama mtoto wake basi tulia tu ukimuombea aweze epuka vishawishi.
Ila kama unaona huwezi basi jiondoe tu kimya kimya bila ugomvi wala shari
Litakufa jitu🤣🤣🤣🤣
Hakika, tunapaswa kutumia akili pia.Huu ushauri wako kwa MWANAMKE ambaye alishapenda na kumchukulia mwanaume aliyenae kama ndio soul mate wake ni ngumu kuufuata maana moyo ulishapenda, moyo ulisharidhika, moyo ulishataka na kujiaminisha kuwa ni mimi tu. Sasa sijui kama atakuelewa. Let's see bro
Hapo ndio mnafeli dada zangu kuishi na mtu bila ndoa anakuja na kiburi ambacho hakina maana,ushauri potezea kama mwanzo ulivyokua unafanya ataona ni utoto ataacha ila ukiwafatilia ndio utaibua mengine.Habari za muda huu ndugu zangu,,
Ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko.. mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.
Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana qimu hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote " unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.
Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.
Je ni sawa nikimtafuta huyo dada?
Aisee we vumilia ili akupatie zawadi ya Ukimwi kipenzi.Kwaweli sijawahi ndugu yangu ndo kwanza nilitaka nimtafute huyu .. huwa sipendi sana kuhangaika na michepuko yake lakini huyu kwakweli kazidi mpaka ananitia wasiwasi...
Yaani can you imagine leo katoka asubuhi kazini alikua night... so akirudi asubuhi huwa analala siku nzima ila akianza off ambayo ndo leo kaanza anaweza asilale... sasa kafika kala anasema anataka kutoka... na niliumia kidole so few days sijafua leo nimefua nguo zote kama box*r zake zooote zilikua mbichi kwenye kamba.... huwezi amini kaianua mbichi kakukausha na pasi na kasepa ndo sijamuona hadi sasa maana nilimwambia ni mbichi subiri zikakuke utatokakaona isiwe tabu kaikausha kwa pasi sasa ndo najiuliza ina maana huyo dada ndo muhimu kiasi hiki
Kwakweli kuna haja ya kujifunza uchawi maana dunia ni uwanja wa vita,,Nenda kwa sangoma ukawaloge wote wawili.
Amemwaga mboga, wewe mwaga ugali na jiko uvunje!
Kwaweli sijawahi ndugu yangu ndo kwanza nilitaka nimtafute huyu .. huwa sipendi sana kuhangaika na michepuko yake lakini huyu kwakweli kazidi mpaka ananitia wasiwasi...
Yaani can you imagine leo katoka asubuhi kazini alikua night... so akirudi asubuhi huwa analala siku nzima ila akianza off ambayo ndo leo kaanza anaweza asilale... sasa kafika kala anasema anataka kutoka... na niliumia kidole so few days sijafua leo nimefua nguo zote kama box*r zake zooote zilikua mbichi kwenye kamba.... huwezi amini kaianua mbichi kakukausha na pasi na kasepa ndo sijamuona hadi sasa maana nilimwambia ni mbichi subiri zikakuke utatokakaona isiwe tabu kaikausha kwa pasi sasa ndo najiuliza ina maana huyo dada ndo muhimu kiasi hiki
Habari za muda huu ndugu zangu,,
Ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko.. mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.
Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana qimu hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote " unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.
Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.
Je ni sawa nikimtafuta huyo dada?
kwanza. Asante sana nashukuru kwa ushauri... nitatendea kaziUsiingie kwenye ndoa ukiwa na wasiwasi… em stopkwanza.
Wasiwasi kwenye mapenzi ni uvumbuzi wa kutambua tayar kuna tatizo
Na dalili hiyo inaonekana wewe ndio unampenda sana ndio maana hajali kuhusu (unataka nisiwe narudi nyumbani) ni jibu tosha kuwa wewe kwake haufurukuti
Cha Muhimu nakushauri kula maisha kwanza
Usije ukasema - SHIKAMOO MAPENZI