kitandachapesa
Senior Member
- Jun 8, 2019
- 157
- 164
Nimecheka.Achana nae na ufanye yanayokuhusu, ukimpata itakuongezea matatizo tu ya Kiafya. Mfano umkute kafungasha chuchu saa tano na nusu. Hapo utaanza nawewe kupiga jeki sijui. Tuliza kidudu Lea mtoto
