kumspy mpenzi wako

kumspy mpenzi wako

Ni wewe mwenyewe!
Pole sana wacha kumsingizia uyo dogo

D.A "Mwanaume mashine"
 
Ukiamua kumspy mpenzi wako jua umeamua na kumuacha kabisa sio unamspy na kumuacha huwezi unabaki kulialia tu na uchungu
 
Kuna kitu nimejifunza kama huna moyo wa kiume usijarbu kumspy mpenz wako maana utakufa na presha

nna mdogo wangu naish nae gheto ana manz wake lkn akawa hamuelew basi nikamshauri kwann tusimtrack watsapp?? akakubali dem alivokuja gheto jamaa akamuazima manz sim yake kiujanja bila kushtukia then tukaiconnect watsapp yake na pc yetu bila kushtukiwa

baada ya dem kusepa kaz ikaanza,,,dah dogo nusu afe kwa mapresha
1.sometym dem anamuambia analala wanaagana vzr tu kwakua sie ni jamaa ni mpenz wa muvie basi anakua macho mpaka night kali cha kushngaza dem ndo mda huo anakua online anachat na wanaume wake hapo dogo anapata txt zote akimuuliza mbona jana ulikua online siku nzma dem anajitetea nililala sikizima data halafu nilikua online dogo anajidai fala hilo linapita

2.dem anachat na ma ex wake kimahaba kila zile za kukumbushiana zama mara sijui ulikua hv dem nae anatoa tu ushirikiano jamaa full kuchanganyikiwa hapa

3. meetin za kwenda lodge hapa ndo dogo alipochoka dem anapanga kwenda lodge huku anamuaga mshkaji labda leo naenda kutembea kwa ndugu flan so ntakua namsaidia kaz huko ntashndwa kua active na sim

kiukweli dogo nikaanza kumuonea huruma maana alikua halali kama ana watsapp mbili ikiingia txt za dogo lazma aamke aanze kusoma usiku ule mm nasikia tu mtu anasonya najichkea kitandan kwangu

ikabd nimshaur wapigane tu chini hamna namna cha ajabu dem akaja kwangu kama shemeji nikamuombee msamaha kwa mdogo wangu hapa ndo nilipochoka nikampa tu moyo bt sijafanya hvo hadi leo sema manz anaamin nimejarbu nikashndwa na pia hata story ya ugomvi wao akaitwist kuonesha mdogo wangu ndo mkorofi akat dogo mie alikua ananionesha convo zote

wanaume wenzangu kama manz huna mipango nae usimfatilie kama una piga ww piga then sepa mtakuja kufa bijana na presha


Sent using Jamii Forums mobile app
nonaomba msaada wa hiyo app kuinganisha ma laptop pls nataka mimi bunafsi nikiwa ofisin bitumie laptop tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumspy mpenzi bila report ni sawa na kunywa juisi ya vyupa vilivyosagwa...
utamu wa kuspy ni ku analyse na kupresent report in both side pia kuonesha utekelezaji au mpango kazi ujao ili kujiridhisha...

mfano mimi itara, nikimspy mpenzi wangu huwa siachi kitu kama nitamkuta na dosari naingia upende wenye dosar nao na u tails, nachukua details muhimu kama family friend nachukua detais za wadogo zake wa kike.. naingia nacheki wapenziwe nk...
baada ya hapo nampa report mpenzi wangu kuwa iknow everything na baadae asipo sitisha nitamfuata mdogo wake na mchepuke ni ta mla... then nitamla na mpenziwe... au hio habar nimpigie huyo jamaa nikiwa kwenye u anonymous ni mwambie a stop au ni activate mode ya kuwala mdogo wake au dada yake au mpenziwe...

hizo ndoto.. tu.. try it on your own risk
 
Kuna kitu nimejifunza kama huna moyo wa kiume usijarbu kumspy mpenz wako maana utakufa na presha

nna mdogo wangu naish nae gheto ana manz wake lkn akawa hamuelew basi nikamshauri kwann tusimtrack watsapp?? akakubali dem alivokuja gheto jamaa akamuazima manz sim yake kiujanja bila kushtukia then tukaiconnect watsapp yake na pc yetu bila kushtukiwa

baada ya dem kusepa kaz ikaanza,,,dah dogo nusu afe kwa mapresha
1.sometym dem anamuambia analala wanaagana vzr tu kwakua sie ni jamaa ni mpenz wa muvie basi anakua macho mpaka night kali cha kushngaza dem ndo mda huo anakua online anachat na wanaume wake hapo dogo anapata txt zote akimuuliza mbona jana ulikua online siku nzma dem anajitetea nililala sikizima data halafu nilikua online dogo anajidai fala hilo linapita

2.dem anachat na ma ex wake kimahaba kila zile za kukumbushiana zama mara sijui ulikua hv dem nae anatoa tu ushirikiano jamaa full kuchanganyikiwa hapa

3. meetin za kwenda lodge hapa ndo dogo alipochoka dem anapanga kwenda lodge huku anamuaga mshkaji labda leo naenda kutembea kwa ndugu flan so ntakua namsaidia kaz huko ntashndwa kua active na sim

kiukweli dogo nikaanza kumuonea huruma maana alikua halali kama ana watsapp mbili ikiingia txt za dogo lazma aamke aanze kusoma usiku ule mm nasikia tu mtu anasonya najichkea kitandan kwangu

ikabd nimshaur wapigane tu chini hamna namna cha ajabu dem akaja kwangu kama shemeji nikamuombee msamaha kwa mdogo wangu hapa ndo nilipochoka nikampa tu moyo bt sijafanya hvo hadi leo sema manz anaamin nimejarbu nikashndwa na pia hata story ya ugomvi wao akaitwist kuonesha mdogo wangu ndo mkorofi akat dogo mie alikua ananionesha convo zote

wanaume wenzangu kama manz huna mipango nae usimfatilie kama una piga ww piga then sepa mtakuja kufa bijana na presha


Sent using Jamii Forums mobile app

Allah...angekufa kwa kiherehere chake..na mdogo wako anaonekana alikufa akaoza kwa binti hadi anafikia stage ya kutrac mawasiliano ..na binti kwake alikuwa anawachanganya kama maharage na viungo vyake...mpe pole mwambie atafute hela na maisha yake wakwake yupo tu nae anahangaishwa kama yeye anavyohangaika kupenda asipopendeka
 
Allah...angekufa kwa kiherehere chake..na mdogo wako anaonekana alikufa akaoza kwa binti hadi anafikia stage ya kutrac mawasiliano ..na binti kwake alikuwa anawachanganya kama maharage na viungo vyake...mpe pole mwambie atafute hela na maisha yake wakwake yupo tu nae anahangaishwa kama yeye anavyohangaika kupenda asipopendeka
alidata sana sema manz akawa anazingua

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom