kumspy mpenzi wako

kumspy mpenzi wako

dedon

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
1,507
Reaction score
2,072
Kuna kitu nimejifunza kama huna moyo wa kiume usijarbu kumspy mpenz wako maana utakufa na presha

nna mdogo wangu naish nae gheto ana manz wake lkn akawa hamuelew basi nikamshauri kwann tusimtrack watsapp?? akakubali dem alivokuja gheto jamaa akamuazima manz sim yake kiujanja bila kushtukia then tukaiconnect watsapp yake na pc yetu bila kushtukiwa

baada ya dem kusepa kaz ikaanza,,,dah dogo nusu afe kwa mapresha
1.sometym dem anamuambia analala wanaagana vzr tu kwakua sie ni jamaa ni mpenz wa muvie basi anakua macho mpaka night kali cha kushngaza dem ndo mda huo anakua online anachat na wanaume wake hapo dogo anapata txt zote akimuuliza mbona jana ulikua online siku nzma dem anajitetea nililala sikizima data halafu nilikua online dogo anajidai fala hilo linapita

2.dem anachat na ma ex wake kimahaba kila zile za kukumbushiana zama mara sijui ulikua hv dem nae anatoa tu ushirikiano jamaa full kuchanganyikiwa hapa

3. meetin za kwenda lodge hapa ndo dogo alipochoka dem anapanga kwenda lodge huku anamuaga mshkaji labda leo naenda kutembea kwa ndugu flan so ntakua namsaidia kaz huko ntashndwa kua active na sim

kiukweli dogo nikaanza kumuonea huruma maana alikua halali kama ana watsapp mbili ikiingia txt za dogo lazma aamke aanze kusoma usiku ule mm nasikia tu mtu anasonya najichkea kitandan kwangu

ikabd nimshaur wapigane tu chini hamna namna cha ajabu dem akaja kwangu kama shemeji nikamuombee msamaha kwa mdogo wangu hapa ndo nilipochoka nikampa tu moyo bt sijafanya hvo hadi leo sema manz anaamin nimejarbu nikashndwa na pia hata story ya ugomvi wao akaitwist kuonesha mdogo wangu ndo mkorofi akat dogo mie alikua ananionesha convo zote

wanaume wenzangu kama manz huna mipango nae usimfatilie kama una piga ww piga then sepa mtakuja kufa bijana na presha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumchunguza mtu bila kujijua kutamu sana asikwambie mtu

Huo mchezo nimeufanya sana inabid uwe na kifua

Ila pia ni vizuri hasa kwa mwanamke ambae unamalengo nae

Inakupa uhakika kua uliyenae sio kimeo
 
Kuna kitu nimejifunza kama huna moyo wa kiume usijarbu kumspy mpenz wako maana utakufa na presha

nna mdogo wangu naish nae gheto ana manz wake lkn akawa hamuelew basi nikamshauri kwann tusimtrack watsapp?? akakubali dem alivokuja gheto jamaa akamuazima manz sim yake kiujanja bila kushtukia then tukaiconnect watsapp yake na pc yetu bila kushtukiwa

baada ya dem kusepa kaz ikaanza,,,dah dogo nusu afe kwa mapresha
1.sometym dem anamuambia analala wanaagana vzr tu kwakua sie ni jamaa ni mpenz wa muvie basi anakua macho mpaka night kali cha kushngaza dem ndo mda huo anakua online anachat na wanaume wake hapo dogo anapata txt zote akimuuliza mbona jana ulikua online siku nzma dem anajitetea nililala sikizima data halafu nilikua online dogo anajidai fala hilo linapita

2.dem anachat na ma ex wake kimahaba kila zile za kukumbushiana zama mara sijui ulikua hv dem nae anatoa tu ushirikiano jamaa full kuchanganyikiwa hapa

3. meetin za kwenda lodge hapa ndo dogo alipochoka dem anapanga kwenda lodge huku anamuaga mshkaji labda leo naenda kutembea kwa ndugu flan so ntakua namsaidia kaz huko ntashndwa kua active na sim

kiukweli dogo nikaanza kumuonea huruma maana alikua halali kama ana watsapp mbili ikiingia txt za dogo lazma aamke aanze kusoma usiku ule mm nasikia tu mtu anasonya najichkea kitandan kwangu

ikabd nimshaur wapigane tu chini hamna namna cha ajabu dem akaja kwangu kama shemeji nikamuombee msamaha kwa mdogo wangu hapa ndo nilipochoka nikampa tu moyo bt sijafanya hvo hadi leo sema manz anaamin nimejarbu nikashndwa na pia hata story ya ugomvi wao akaitwist kuonesha mdogo wangu ndo mkorofi akat dogo mie alikua ananionesha convo zote

wanaume wenzangu kama manz huna mipango nae usimfatilie kama una piga ww piga then sepa mtakuja kufa bijana na presha


Sent using Jamii Forums mobile app
hv unafanyaje ili kuspy?
 
hahahahahaha haya mambo unaweza lala na viatu, alafu walio na michepuko wengi ni waoga wa kuachwa

Mi mmoja nilifahamu tuko wa3 nkaomba game kama 4 fasta fasta nkamkaushia, mziki ukawa kwenye kuhudumia. akiomba laki natoa 33, akiomba 20 natoa buku 8

siku akauliza mbona sieleweki pesa naombwa hii mi natoa hii, nkamwambia nafahamu tuko wa 3 (nkamtajia) so matumiz yako inabidi tuchangie wote alichoka

binadamu tuna mambo ya hovyo ni vile mambo hayako wazi unaweza lia
 
hahahahahaha haya mambo unaweza lala na viatu, alafu walio na michepuko wengi ni waoga wa kuachwa

Mi mmoja nilifahamu tuko wa3 nkaomba game kama 4 fasta fasta nkamkaushia, mziki ukawa kwenye kuhudumia. akiomba laki natoa 33, akiomba 20 natoa buku 8

siku akauliza mbona sieleweki pesa naombwa hii mi natoa hii, nkamwambia nafahamu tuko wa 3 (nkamtajia) so matumiz yako inabidi tuchangie wote alichoka

binadamu tuna mambo ya hovyo ni vile mambo hayako wazi unaweza lia
Kwa iyo ulikua unagawanya kwa tatu

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Kwa iyo ulikua unagawanya kwa tatu

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
eeeeh mkuu si tuko wa3 mbaya zaidi haya mawili niliyakuta na huduma za manati, ile kukata huduma analia sana mpaka leo.

huwa namtoa toa nikiwa njema sema mapenzi hakuna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom