dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,404
- 15,985
Naamka asubuhi namuamkia mtu, jirani yangu halafu harudshi salama anaitikia kimkato tu na kutuliaa, hiki kitu kinanikeraa sana naona kama najipendekezaa mimi! Wakati jirani mwingine ananisalimia kwa bashasha na mimi narudisha na kujibu vizuri tu.
Sasa kuanzia Leo salamu yangu hatoisikiaa popote pale.
Hili limekaje wakuu
Sasa kuanzia Leo salamu yangu hatoisikiaa popote pale.
Hili limekaje wakuu