RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,038
- 505
Kwa nilichopost asubuhi ya leo mida ya saa nne,
Kwa ambao hawakusoma taarifa hiyo na waliosoma ila hawana kumbukumbu itoshe kusema kwamba haipaswi hata kujua.
Haikuwa rahisi kudhani kuwa ni uzushi kwa kuwa niliitoa katika chanzo ambacho uusingedhani kama wanaweza kuandikavtaarifa isiiyokuwa na uhakika.
Wanajamvi na moderators niwieni radhi sana.
Kwa ambao hawakusoma taarifa hiyo na waliosoma ila hawana kumbukumbu itoshe kusema kwamba haipaswi hata kujua.
Haikuwa rahisi kudhani kuwa ni uzushi kwa kuwa niliitoa katika chanzo ambacho uusingedhani kama wanaweza kuandikavtaarifa isiiyokuwa na uhakika.
Wanajamvi na moderators niwieni radhi sana.