Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Wakuu kama uzi unayojieleza masomo yangu ya English and Geography inafika wakati najuta kwanini nilipoteza mapesa na muda wangu kusoma hapo namshukuru Mungu kwa nafasi hii ..
Nimezungukia shule kadhaa baada ya kuchukua cheti changu lakini hii wiki ya 4 bado majibu Yao Yana ukakasi...
Najua Kuna watu humu wanapitia Hali hii aisee hakuna wakati mgumu kama wa kusubiri majibu ya ajira hasa ukiwa uko ugaibuni.. Nipo mikoa ya nyanda za juu kusini huku..
Bado naona giza tu Naombeni wenye plan B hapa wale wataalamu wa kudadavua Mada za ajira na Hali halisi ya maisha ya Sasa, hivi wewe msomaji wa uzi huu ukikosa ajira unafanya nini?
Nimezungukia shule kadhaa baada ya kuchukua cheti changu lakini hii wiki ya 4 bado majibu Yao Yana ukakasi...
Najua Kuna watu humu wanapitia Hali hii aisee hakuna wakati mgumu kama wa kusubiri majibu ya ajira hasa ukiwa uko ugaibuni.. Nipo mikoa ya nyanda za juu kusini huku..
Bado naona giza tu Naombeni wenye plan B hapa wale wataalamu wa kudadavua Mada za ajira na Hali halisi ya maisha ya Sasa, hivi wewe msomaji wa uzi huu ukikosa ajira unafanya nini?