Kumradhi Mtukufu Mheshimiwa Rais wetu Magufuli

Ili mfanyakazi kwenye taasisi yeyote aweze kufanya vizuri sana "outstanding performance" anatakiwa awe na nidhamu ya hali ya juu, morali ya kazi, kujituma, ubunifu, elimu na ujuzi sahihi na kikubwa kupita vyote pengine ni dhamira njema. Kwa hiyo pamoja na juhudi za kujenga nidhamu ambazo kimsingi ni muhimu, ipo haja pia ya kuangalia ni kwa namna gani unaweza kujenga nidhamu na wakati huo huo hayo mengine nayo yakajengeka na kuimarika ili kuwa na matokeo bora.
Mimi nimekuelewa, asie kuelewa ana yake mambo. Huwezi kupanda maharage ukavuna mahindi. Kazi ni dhamana, na dhamana ni huduma bora utakayo itoa kwa wananchi. No one will respect you if your don't respect your customers (in this case customers are wananchi).
 
Mimi nimekuelewa, asie kuelewa ana yake mambo. Huwezi kupanda maharage ukavuna mahindi. Kazi ni dhamana, na dhamana ni huduma bora utakayo itoa kwa wananchi. No one will respect you if your don't respect your customers (in this case customers are wananchi).
Labda nikuulize swali, ni wafanyakazi wote na wamaeneo yote ambao hawawaheshimu wateja wao?1. je ni sababu gani inayowafanya wasiwaheshimu na je ni sababu hiyo hiyo moja au ni sababu tufauti tofauti? 2. unafikiri kuheshimu customers peke yake kunatosha kuifanya taasisi kufikia malengo yake au kuna na mambo mengine pia yanatakiwa, kama yapo ni yapi na ni kwa vipi yanaweza kufikiwa hapo ndipo ninapozungumzia.

Na pia hiyo heshima inatakiwa ijengwe iwe inatokea ndani, sio mtu awe anakuheshimu sababu ya woga fulani ila ukiachana na huo woga hana heshima yeyote, heshima ya namna hiyo haina tija, sijui wewe unaonaje katika hilo?
 
nyie mnaomuita mwanadamu mwenzenu mtukufu acheni hii tabia mwacheni ajiite yy sio nyie junyita hivyo mbashiliki dhambi bila kujua
 
kumwita binadamu mwenzako mtukufu hapa duniani ni kumkashifu Mwenyezi Mungu, Mungu peke ndio ana weza kuitwa mtukufu. Ujipange kujieleza kwake Mungu kwanini ulitumia jina lake kumwita binadamu mwenzio.

Mkuu wetu anapenda kuitwa Mtukufu, asipomwita hivyo ataitwa Mchochezi na gereza litamuhusu. Ndiyo maana Jamaa kaona autafute ulimwengu wa Magufuli kwanza then ya Mbinguni baadae
 
Rais si Mtukufu. Mtukufu ni Mungu tu. Rais wetu anaitwa John Pombe Magufuli. Hakuna cha utukufu.. tuacheni ujinga ujinga...
 
Thread nzuri ila umeandika kwa uoga sana uliopitiliza, kwa uoga wa namna hii hiyo haki mnaoyoitafuta watumishi mtaisubili sana
 
Thread nzuri ila umeandika kwa uoga sana uliopitiliza, kwa uoga wa namna hii hiyo haki mnaoyoitafuta watumishi mtaisubili sana
mkuu sio woga, hakuna mtu mzima anayependa kudharauliwa au kufokewa au kuamrishwa, kwa hiyo ukitumia lugha ya ukali , unaweza kum temper mtu halafu akashindwa hata kusikiliza hoja yako, hapo ndipo umuhimu wakuongea kwa upole na utulivu unapokuja.
 
Mkuu wetu anapenda kuitwa Mtukufu, asipomwita hivyo ataitwa Mchochezi na gereza litamuhusu. Ndiyo maana Jamaa kaona autafute ulimwengu wa Magufuli kwanza then ya Mbinguni baadae
Hapana, hakuna hata sehemu moja aliyo andika au kusema aitwe mtukufu. Ukipewa urais, unajaza form ambayo ndani kuna swali unaulizwa "unataka utambuliwe kama nani" sidhani kama mtukufu lilikuwa jibu lake. Haya ni maneno ya Tundu Lissu ambayo mpaka leo kuna kesi ana sumbuana nayo.
 
Labda nikuulize swali, ni wafanyakazi wote na wamaeneo yote ambao hawawaheshimu wateja wao?1. je ni sababu gani inayowafanya wasiwaheshimu na je ni sababu hiyo hiyo moja au ni sababu tufauti tofauti? 2. unafikiri kuheshimu customers peke yake kunatosha kuifanya taasisi kufikia malengo yake au kuna na mambo mengine pia yanatakiwa, kama yapo ni yapi na ni kwa vipi yanaweza kufikiwa hapo ndipo ninapozungumzia.

Na pia hiyo heshima inatakiwa ijengwe iwe inatokea ndani, sio mtu awe anakuheshimu sababu ya woga fulani ila ukiachana na huo woga hana heshima yeyote, heshima ya namna hiyo haina tija, sijui wewe unaonaje katika hilo?

Waswahili wanasema heshima ni kutu cha bure. Wakati mwingine una judge mtu au watu au ofisi kutokana na walivyo kuheshimu kabla hata huja taka huduma yao. Sababu kubwa inayofanywa watu wasi heshimu wateja wao, moja ni hulka ya mtu binafsi. Sehemu nyingine unakuta mtu ana zambi ya asili niki maanisha ndivyo hivyo alivyo zaliwa. Sababu nyingine ni za kawaida kwamba mtu anajiona yuko juu ya wengine na yeye ndio yeye, hakuna cha kumtisha.

Customer care peke yake sio kutu kinahitajika kwenye kampuni lakini ni sehemu kubwa ya ustawi wa kampuni. Angalia kampuni kubwa kama goodle au facebook. Hizi kampuni zinatoa huduma ya mtandao bure duniani, lakini level yao ya customers care haija shuka hata kama ni moja za kampuni tajiri sana duniani.

Haya ndio mambo hata JPM alipoingia alikuwa ana yasema kwa wafanyakazi wa afya jinsi wanavyo nyanyasa wagonjwa, wakisahau kwamba bila wagonjwa, na wao kazi hakuna.
 
unajaza form ambayo ndani kuna swali unaulizwa "unataka utambuliwe kama nani" sidhani kama mtukufu lilikuwa jibu lake. Haya ni maneno ya Tundu Lissu ambayo mpaka leo kuna kesi ana sumbuana nayo.
sasa mkuu kuna haja gani ya kujitafutia kesi zinazoweza kuepukika?
 
Sababu nyingine ni za kawaida kwamba mtu anajiona yuko juu ya wengine na yeye ndio yeye, hakuna cha kumtisha.

Customer care peke yake sio kutu kinahitajika kwenye kampuni lakini ni sehemu kubwa ya ustawi wa kampuni.
Haya ndio mambo hata JPM alipoingia alikuwa ana yasema kwa wafanyakazi wa afya jinsi wanavyo nyanyasa wagonjwa, wakisahau kwamba bila wagonjwa, na wao kazi hakuna.
Mkuu ujue kiongozi mkuu ndio anatakiwa awe mentor na mfano kwa wengine ili aweze kuwa insipire viongozi walio chini yake ili nao waweze kuwa inspire wafanyakazi wa chini yao ambao wanakuwa kwenye oparesheni za kila siku. Ukifika kwenye taasisi yeyote ukiona mambo hayaeleweki, ujue hilo tatizo lina mizizi mirefu. mara nyingi wafanyakazi wana tabia ya kujifunza na kuiga tabia kwenye chain. kwa mfano hapo unapozungumzia customers service, unatakiwa ujue kila mtu kwa nafasi yake ana customers wake, sasa jiulize huyo JPM mwenyewe level yake ya customer service ikoje? je, customer service ya wakubwa wallio chini yake iko je? nenda hivyo hivyo kidogo kidogo mpaka chini utanielewa. Kuna vitu vingine tunachoona ni matokeo tu.
 
Mkuu ujue kiongozi mkuu ndio anatakiwa awe mentor na mfano kwa wengine ili aweze kuwa insipire viongozi walio chini yake ili nao waweze kuwa inspire wafanyakazi wa chini yao ambao wanakuwa kwenye oparesheni za kila siku. Ukifika kwenye taasisi yeyote ukiona mambo hayaeleweki, ujue hilo tatizo lina mizizi mirefu. mara nyingi wafanyakazi wana tabia ya kujifunza na kuiga tabia kwenye chain. kwa mfano hapo unapozungumzia customers service, unatakiwa ujue kila mtu kwa nafasi yake ana customers wake, sasa jiulize huyo JPM mwenyewe level yake ya customer service ikoje? je, customer service ya wakubwa wallio chini yake iko je? nenda hivyo hivyo kidogo kidogo mpaka chini utanielewa. Kuna vitu vingine tunachoona ni matokeo tu.
Nadhani utakubaliana na mimi kwamba binadamu hatuko sawa, wote tume zaliwa na hulka zetu tofauti. JPM nae ana hulka zake, kwa wenzetu wazungu wasema style of leadership. Pamoja na mapungufu yake, sio rahisi kwa nchi ya kidemokrasia kupata kiongozi anaye kubalika katika pande zote. Mfano mzuri ni Marekani, kuna watu walimpenda utendaji wa Obama na wengine hawa kupenda. Hali hiyo imejigeuza kwa Tramp hivi sasa, wengi waliomchukia Obama ndio walio mchaguwa Tramp. Kwa hiyo kwa Tanzania kupata kiongozi ambaye ata kidhi kiu ya kila mtanzania itakuwa ndoto, vinginevyo tutakuwa hatuna demokrasia, tutakuwa kama Korea Kaskazini au Cuba ambapo wananchi wanalazimika kukubali utawala wa rais aliye madarakani hata kama hisia zao ziko tofauti.
 
Back
Top Bottom