Kumpoteza mtu unayempenda!!

BelindaJacob

Platinum Member
Nov 24, 2008
6,474
4,022
Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?

Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.

Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).

Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!

I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..
 
Pole sana, naweza elewa sana situation yako, ni ngumu nikikuambia jaribu kumsahau, naelewa sana kumsahau mtu haraka ni ngumu ,nimesha tokewa na hali hiyo na nikadhani dunia ndio mwisho, ila ajabu siku hizi huyo mtu hata nikimuona sitaki hata kukaa naye dakika mbili , kifupi namkimbia , sababu ile penzi nililo kua nalo kwake halipo kabisa ,kwanza najishanga inakuaje nili fall namna ile mbaka nikaona kwanini nilizaliwa kuteseka kumkosa huyu? .

Amini utaweza tuu kumsahau kama utaweza jitahidi , njia ya jaribu kuto onana naye au kaa mbali naye hilo lita saidia kuanza kumsahau taratibu. ni ngumu lakini kw aupende wangu ilini saidia sana na kuweza msahau kabisa.
 
Ooh! Pole mpenzi. Amini mungu anakupenda na kila jambo la shari kuna heri ndani yake.
Huwezi jua mungu amekuepusha na mambo mangapi. Nahisi unavyojisikia, nisingependa uendelee kujisikia hvyo.
Hata tukikwambia maneno mazuri yote bado wewe mwenyewe ndio inakupasa kuijengea nafsi yako mazingira ya furaha.
Usiruhusu kuipoteza furaha yako.
 
Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).

Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!

I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..

Pole sana BelindaJacob,

There so many men/women who have gone through the same situation - I would say 75% of happily married women and men went through the same...

Kusahau uwezi lakini kusamehe ndiyo la muhimu zaidi ili uweze kuendelea na maisha

Step 1.. Stop asking yourself "WHY?"

Step 2.. Initiate an "acceptance session" and tell your heart that "whatever happens in life, happens for the very good reason"

Step 3.. Try to remember the "good things" you had or you did before seeing/meeting this "guy'

Step 4.. Travel (If you can) to go and see your close relative (Dad, Mom, Uncle, Sister, e.t.c) as they matter most in such a situation

Step 5.. Join into some social groups and undertake a "charity work"

Step 6.. Start Living as good as you can & remember to thank God for whatever that you have
 
It's something that you cant stop thinking about. It's something very strange which has the power to make you do strange things which you can't even think of. It's something that supposes to be light and easy. Something that suppose to make you happy.BUT IT'S NOT.It's something you neither can't control, It's something that leaves you in question what to do next and yet you are scared to take another step deeper because you know it doesn't worth it and while others say its good, for others it becomes agony and pain.

I understand the fact that you loved him but i think right now its impossible (He's married) move on find that special guy that will marry you and love you i know its going to be very difficult and hard (I can see it's already difficult and hard for you) but what doesn't kill you can only make you stronger.

TRAVEL, DO THE ACTIVITIES WHICH YOU WERE NOT DOING IN THE PAST
 
Dah BJ yaani hii thread imeniharibia siku yangu kwa kuwa na huzuni kubwa kwako kwa yaliyokupata.

Pole sana maisha lazima yaendelee no matter what.........

Ni ngumu kwa sasa ila utaweza mie niliweza zamani nimekumbuka mbali sana pole.....
 
Hii ni ngumu, i can only advise you to pray whenever you feel angry n hurt. Ask God to help you forgive..that is the first step towards healing. Usipomsamehe hutaweza kusahau....ukishakuwa umemsamehe, i mean ikifikia wakati unaweza kumkumbuka au kumuwaza bila kusikia hasira na uchungu, its time for you kumtafuta na kumuomba uonane naye muongee akwambie what really happened so that you can learn form it. Then move on with your life.
Pole sana mydia.
 
Pole sana

We all face a time when we experience a bad breakup with that special person. We become depressed and it seems like the only thing we are able to think about is that person who is no longer in our lives. We go shopping and we see something that reminds us of them, or we hear a song that they used to like. At this time the logical part of the brain knows that eventually things will get better, it is just a matter of time. Of course at the time of a break up we are so full of hurt and emotional distress that we can often be stubborn and fall into a deep depression if we don’t pull ourselves together.

That is why it is important to deal with break-ups at our own pace and find ways to build confidence and self esteem
 
Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?

Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.

Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).

Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!

I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..


Honey Iam so very sorry and I feel you... Hakuna maneno tutakwambia roho ikaacha kuuma but I really hope uzingatie ushauri unaotolewa maana mwingi ni mzuri.

Sometimes for us to get people we deserve, we have to get people we dont deserve. Na pleease usijilaumu sana kwa kutaka kujilaumu wewe na kufikiri kuna upungufu ulio nao ndo maana kakuacha. Hakuna mwanadamu asiyekua na mapungufu, the best lovers and partners are those ambao anaweza ishi nawewe regardless ya hayo mapungufu. I believe you are a great lady in one way or another, just learn hard from the experience but dont let it put you down (You dont belong there - no woman does)
 
Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?

Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.

Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).

Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!

I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..

Pole BJ...
Unapotwa na matatizo ya kimahusiano, unazidi kuumia unapodhani labda wewe ndo tatizo la yeye kukuacha....
Hebu kubali tu kwamba hamkupaswa kuwa pamoja zaidi ya hapo mlipofika....and remember wewe sio tatizo....
 
Pole sana

We all face a time when we experience a bad breakup with that special person. We

It's something that you cant stop thinking about. It's something very strange which has the power to make you do strange things

Pole sana BelindaJacob,

There so many men/women who have gone through the same situation - I would say 75% of happily married women and men went through the same...


Kwa faida ya wengi walio/wanao/watakao/pitia hali kama hii, tungeomba mtumie lugha ya kiswahili...tunathamini michango yenu...Tafadhali..mtutafsirie na sisi wengine,
 
Pole sana BJ.
Ni kipindi kigumu ila amin kitapita. Mungu akutie nguvu. Again pole mpendwa.
 
Give Yourself Time to Heal

Everyone deals with breakups differently, some people cry for weeks others cry for months, while some people never cry. Just because a person does not cry does not mean they weren't affected by the breakup.

Biochemists discovered that tears caused by emotion contained more toxic products then tears caused by irritation.

Tears help to expel toxins from our body that build due to stress. Frey states, "They are like a natural therapy or massage session, but they cost a lot less!"

One of the best soul healing tips and remedies for love wounds is to give time to cry it out. This is because the more you keep it in the more it may build up and cause problems in future relationships. Crying is good for cleansing the soul and expelling those sentimental feelings. Have you ever noticed when you feel sad and cry you feel a lot better afterwards?


Take all Pictures, Cards or Jewelry and Put Them Away (tunaita out of sight)

It is just like that good old saying, "Out of sight, out of mind." The longer you keep pictures around, letters or cards that he/she has given you the harder it will be to let go.

Research suggests, "Let go of mementos. Put away or give away anything and everything that reminds you of the relationship. Hide them out of sight so they will be out of mind until you are able to remember the relationship without longing for it to still be going strong."

Why put yourself through that agony. When you learn to let go, you are coming to terms that it is over, which is good. That is when you can begin to move on with your life.
 
Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?

Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.

Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).

Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!

I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..
kama vile unausemea moyo wangu kipindi hivi.
 
Mungu anapokunyima kitu fulani ana sababu. Labda anaacha nafasi ya kukupa kilicho bora zaidi huko mbele. Zidi kumwomba na kumtumainia.


Pole sana sana,
Najua jinsi unavyoumia ksb nami nimepitia hapo,
watu wengi sana walinipa pole na faraja nyingi,
ila kuna mtu mmoja alinambia maneno kama hayo hapo juu,
kipindi kile kusema ukweli sikumwelewa, na ilinichukua miaka mingi sana,
kumwelewa, lakin NAMSHUKURU MUNGU SASA NAANZA KUELEWA,
NA NAZIDI KUAMINI KUWA MUNGU ANATUPENDA SANA VIUMBE VYAKE,
SISI TUNAPOTOKEWA NA TATIZO TUNAUMIA SANA,TUNALAUMU SANA,
NA TUNAJUTA SANA, LAKIN KUMBE MUNGU AMEKUWA AMETUANDALIA,
KITU/JAMBO ZURI SANA MBELE YETU.

POLE SANA NDUGU YANGU. ILA OMBA SANA, LIA SANA SANA HASIRA NA MAUMIVU VIWEZE KUPUNGUA HUKU UKIAMINI KUWA MUNGU NI MWEMA SANA,
NAAMINI KUNA MWANAUME MBELE YAKO ATAKAYEKUPENDA KWA DHATI, ATAKAYEKUPA PUMZIKO ZURI NA MWILI NA MOYO WAKO, MPAKA MWISHO WA PUMZI YAKO.

HILO ULILONANO SIYO TATIZO BALI NI CHANGAMOTO TU YA KIMAHUSIANO,
UKIMALIZA KULIA,FUTA MACHOZI, SIMAMA, ANZA KUKATA HATUA ,ONGEZA NYINGINE THEN RUHUSU USIKU UINGIE SIKU NYINGINE IONEKANE THEN RUHUSU MWANGA KATIKA MAISHA YAKO.....HAYO NDIYO MAISHA NDUGU YANGU....POLE SANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom