Hajulikani
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 273
- 252
Wadau Jumatatu nilimtembelea mchumba wangu kwake sasa wakati tunapiga stori za hapa na pale tukapishana kidogo akanitukana nikampiga kibao kimoja.
Kwa kweli alilia sana mpaka akawa anakimbilia mlango atoke nje akimbie akihisi nitamwendelezea kibano.
Ilichukua muda sana kumbembeleza.
Lakini nahisi kuna jambo limebadilika moyoni mwangu baada ya kumnasa kibao
Kwa kweli alilia sana mpaka akawa anakimbilia mlango atoke nje akimbie akihisi nitamwendelezea kibano.
Ilichukua muda sana kumbembeleza.
Lakini nahisi kuna jambo limebadilika moyoni mwangu baada ya kumnasa kibao
siku nyingine jibu asante tu halafu toka zako, ukirudi hasira zimeisha