Nikikupa hela utaikataa?Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke.Na nivizuri kumtunza mwanamke.Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi.
Simaanishi msiwape,ila msome mwanamke umjue
Nimependa id yako@KISS π―.Ingependeza zaidi ingekuwa "KISS ME"!Litamke polepole kwa kiswahili.I'm kidding!Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke.Na nivizuri kumtunza mwanamke.Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi.
Simaanishi msiwape,ila msome mwanamke umjue
tutafika kweli kwa namna hii?Nimependa id yako@KISS π―.Ingependeza zaidi ingekuwa "KISS ME"!Litamke polepole kwa kiswahili.I'm kidding!
Vichwa vimeshavurugwa muda huu.Usichukulie serious kivile.Utaichukia hadi nafsi yako.πππtutafika kweli kwa namna hii?
HahahahahaTuliambiwa, tuishi nao kwa akili.
Baada ya hapo, sijaona popote penye imetajwa pesa....π€
Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke.Na nivizuri kumtunza mwanamke.Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi.
Simaanishi msiwape,ila msome mwanamke umjue
Mi napenda hiyo dharau...
Jamani anaetaka kunidharau aje
Me too βοΈMi napenda hiyo dharau...
Jamani anaetaka kunidharau aje
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi..Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke. Na nivizuri kumtunza mwanamke. Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi. Simaanishi msiwape,ila msome mwanamke umjue
Mbona hilo tunalijua tokea jana!Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke. Na nivizuri kumtunza mwanamke. Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi. Simaanishi msiwape,ila msome mwanamke umjue
Wale wanaokataa ndoa wajifunze hapo.Ni kutoka tu huko mambalimbali ukiwa na miakili yako,unaoa.Habari kwishaaaa!Kushnehi ghaega!Tuliambiwa, tuishi nao kwa akili.
Baada ya hapo, sijaona popote penye imetajwa pesa....π€
We ndio uhalisia wa mwanamke πMi napenda hiyo dharau...
Jamani anaetaka kunidharau aje
Naomba unidharauWe ndio uhalisia wa mwanamke π