Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 713
- 1,738
Hili jambo halija kaa sawa,
Inakuaje mtu anakuja na mtu (mpenzi) nyumbani kumtambulisha, direct anasema huyu ndie mwenza nitakae kua nae
Hii ipo sawa??, kumpeleka mchumba nyumbani ni kwenda kutoa tu taarifa ili watu wajue, au kuomba ridhaa?? Maana ridhaa inaweza kukubaliwa au kukataliwa
Inakuaje mtu anakuja na mtu (mpenzi) nyumbani kumtambulisha, direct anasema huyu ndie mwenza nitakae kua nae
Hii ipo sawa??, kumpeleka mchumba nyumbani ni kwenda kutoa tu taarifa ili watu wajue, au kuomba ridhaa?? Maana ridhaa inaweza kukubaliwa au kukataliwa