Bossmkubwasana
Senior Member
- Apr 9, 2019
- 139
- 47
Ukitaka kujua kama mkeo au mpenzi wako .kama anamapenzi ya dhat #1. Ukiendanae baa hawezi ket katka kiti bila kukusogezea kiti ww #2. Mkiingia hoteli hawezi kula bira kukurisha japo kijiko kimoja tu. #3. Hawezi mariza sku hata moja bila kukutamkia neno nakupenda. #4. Hawezi pata fulaha ukiwa umesafri __ huyo ndo mwenye mapenzi ya dhati...............