Kumjua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati

Kumjua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati

[QUOTEhi yo tismkubwasana, post: 31252991, member: 546593"]
Ukitaka kujua kama mkeo au mpenzi wako .kama anamapenzi ya dhat #1. Ukiendanae baa hawezi ket katka kiti bila kukusogezea kiti ww #2. Mkiingia hoteli hawezi kula bira kukurisha japo kijiko kimoja tu. #3. Hawezi mariza sku hata moja bila kukutamkia neno nakupenda. #4. Hawezi pata fulaha ukiwa umesafri __ huyo ndo mwenye mapenzi ya dhati...............
[/QUOTE]
Yaani hivyo tu: kama hamuendi baa/hotel, kama husafiri, inakuaje?
 
kuwa kwanza uyaone..
inaonekana wewe ni zao moja wapo la wale walimu voda fasta
 
Ukitaka kujua kama mkeo au mpenzi wako .kama anamapenzi ya dhat #1. Ukiendanae baa hawezi ket katka kiti bila kukusogezea kiti ww #2. Mkiingia hoteli hawezi kula bira kukurisha japo kijiko kimoja tu. #3. Hawezi mariza sku hata moja bila kukutamkia neno nakupenda. #4. Hawezi pata fulaha ukiwa umesafri __ huyo ndo mwenye mapenzi ya dhati...............
😂
 
Hicho kiswahili sijui cha mkoa gani jamani. Nahisi mtoa uzi ni mnyakyusa!!hahaha
 
[QUOTEhi yo tismkubwasana, post: 31252991, member: 546593"]
Ukitaka kujua kama mkeo au mpenzi wako .kama anamapenzi ya dhat #1. Ukiendanae baa hawezi ket katka kiti bila kukusogezea kiti ww #2. Mkiingia hoteli hawezi kula bira kukurisha japo kijiko kimoja tu. #3. Hawezi mariza sku hata moja bila kukutamkia neno nakupenda. #4. Hawezi pata fulaha ukiwa umesafri __ huyo ndo mwenye mapenzi ya dhati...............
Yaani hivyo tu: kama hamuendi baa/hotel, kama husafiri, inakuaje?
[/QUOTE]
Unapenda maigizo?
 
Kulishwa hapana. Yaan niache kula nijulishe mtu sio rahisi
 
Hiki ni kizazi jeuri kila mtu saiv mbabe kwenye mapenz
Anaekupenda kwa dhati ni mama ako tu
 
Mapenzi ya dhati ya nin...nowadays tunaangalia vitu vitatu ili relationship iwe strong...
1.Compatibility, u have same chemistry
2.Sex, u satisfy each other and
3.Communication, u talk and understand each other basi hayo mengine yatakuja tu...
 
Kipimo pekee na rahisi cha kumjua mwanamke anayekupenda kwa dhati ni kuwa Masikini, usimiliki hata mia.
 
Hata malaya ambaye ana interest na hela yako anaweza kukufanyia haya yote
 
Sasa hivyo vitu mademu wa mjini si wanakuactia tu na wanakutoa mtonyo wa kutosha
 
Back
Top Bottom