Tito kihodombi
Member
- Apr 1, 2019
- 58
- 56
Hahaaa mkuu naona umeamua uende na mwandiko wa mtoa posturichosema nikweri hasirimiya miya. Harafu watu hawarijui Hiro
Hahaaa mkuu naona umeamua uende na mwandiko wa mtoa posturichosema nikweri hasirimiya miya. Harafu watu hawarijui Hiro
ndio vijana wetu na mitandao mkuu.......halafu hata hajistukii.Hivi kiswahili darasa la tatu waalimu wake ni vodafaster? Yaani inakera kwamba mtu hajui kuandika kwa ufasaha kama hakusoma hata la kwanza. Hata kama umeathirika na lahaja ya kwenu lakini hata wapi utumie 'r' wapi 'l'HUJUI ?? inahuzunisha sana!
Wasukuma na wakurya li ni ri na nawadar wao hawachagui kabila wote kwenye ri li amazing nani kakudanganya kuvutiwa kiti unapendwa loh kwa taarifa yako mwanaume ndio amvutie mke kiti .Ukitaka kujua kama mkeo au mpenzi wako .kama anamapenzi ya dhat #1. Ukiendanae baa hawezi ket katka kiti bila kukusogezea kiti ww #2. Mkiingia hoteli hawezi kula bira kukurisha japo kijiko kimoja tu. #3. Hawezi mariza sku hata moja bila kukutamkia neno nakupenda. #4. Hawezi pata fulaha ukiwa umesafri __ huyo ndo mwenye mapenzi ya dhati...............