Kumjua bosi mpya wa SADC

Kumjua bosi mpya wa SADC

Yaani JK bana kiboko, kawapa kisogo EAC sasa Mtanzania ndio boss wa SADC. Kazi wanayo majemedari wa EAC na hatma yao, hii ndio Tanzania bana.

JK anazidi kuweka historia kidiplomasia, katika awamu yake tumeshuhudia Augustine Mahiga akiongoza Somalia huku akiwa ndie mjumbe maalum wa UN pale, tumeshuhudia mama Tibaijuka akiwa juu kabisa katika UN-Habitat, tumeshuhudia mama Migori (japo alivurunda) akiwa ni 2nd in command katika UN yaani deputy secretary general.

Hongereni watanzania wenzetu, ipeperusheni vema bendera ya nchi yetu.

kupewa ukatibu mkuu wa sadc , hakuhusiani na kutaka kujitoa eac, bali ni zamu ya tanzania kutoa katibu mkuu.
 
Angekuwa na jina la Byarugaba na rangi nyeusi angekuwa Mnyarwanda ila kwa kuwa nyie watanzania ni limbukeni mmezuzuka na rangi mnamvika Utanzania

At least huyu asiye Byarugaba siyo Tutsi-domination zealot ambaye anaweza kuleta matatizo makubwa kwa usalama wa Tanganyika yetu miaka inayokuja...Rwanda ndiyo wajinga wanajifanya kama Israel (a militant-racist state surrounded by enemies both real and imaginary) bila ya kutokua na superpower ally au relative superior military strenght in the region.
 
Iam half American half Tanzania kwa hiyo nipo kati kati baharini ya Atlantiki

mkuu kimbunga huyu hana half american chochote we angalia hlo jina lake la ubini ndo wale wale abatutsi wezi wa mifugo yetu kagera bora wameondolewa tupumue tumechoka haya na wewe malizia..........
 
Yaani JK bana kiboko, kawapa kisogo EAC sasa Mtanzania ndio boss wa SADC. Kazi wanayo majemedari wa EAC na hatma yao, hii ndio Tanzania bana.

JK anazidi kuweka historia kidiplomasia, katika awamu yake tumeshuhudia Augustine Mahiga akiongoza Somalia huku akiwa ndie mjumbe maalum wa UN pale, tumeshuhudia mama Tibaijuka akiwa juu kabisa katika UN-Habitat, tumeshuhudia mama Migori (japo alivurunda) akiwa ni 2nd in command katika UN yaani deputy secretary general.

Hongereni watanzania wenzetu, ipeperusheni vema bendera ya nchi yetu.

Tibaijuka alikuwa UN habiatat enzi ya chinga na sio huyu mkweree; acha kumpandisha chati!!! Yeye wake ni Migiro ambae alichemsha!! Mkweree kwa mashori ndio mwenyewe!!!!
 
Namfahamu kidogo, nilikuwa naye UDSM wakati naendelea na uhandisi yeye akiwa B.com miaka ya 1987 hadi 91. Baba Mgiriki, mama Bojo. aliolewa na kijana Gasper(Tutsi) aliyempenda sana, alimkabidi corola ya brown wakati akiwa bado chuo ili kupata uhakika wa umiliki. lakini nadhani caliber zilitofautiana maana kijana alikuwa KCC, mama akamuacha mume wakati mume anampenda sana. aliajiriwa wizara ya fedha, akawa na mahusiano na kigogo mmoja ambaye alikuwa na pesa nje ya nchi na alipokwenda kudraw akakuta serikari imezuia account yake, akafariki dunia kwa pressure, lakini wakati huo mwana mama huyo aliishazawadiwa scholarship uingereza na kigogo huyo, ali-persue Masters. Aliweza kutorosha mtoto aliyezaa naye na Gasper ambaye tayari aliisha pata dhoruba ya akili kwa kuachwa solemba na mkeo huyo. Alipomaliza masomo akawa BET, Katibu mkuu viwanda na biashara, wizara ya mahuiano - EA na sasa yuko SADC. Yote tisa lakini Gasper aliumia sana. Gasper ni Mtusi of the Rwanda's origin. She can so easily betray under certain convincing influence. I dont trust her!
 
Yaani JK bana kiboko, kawapa kisogo EAC sasa Mtanzania ndio boss wa SADC. Kazi wanayo majemedari wa EAC na hatma yao, hii ndio Tanzania bana.

JK anazidi kuweka historia kidiplomasia, katika awamu yake tumeshuhudia Augustine Mahiga akiongoza Somalia huku akiwa ndie mjumbe maalum wa UN pale, tumeshuhudia mama Tibaijuka akiwa juu kabisa katika UN-Habitat, tumeshuhudia mama Migori (japo alivurunda) akiwa ni 2nd in command katika UN yaani deputy secretary general.

Hongereni watanzania wenzetu, ipeperusheni vema bendera ya nchi yetu.
Tibaijuka alikuwa Habitat hata kabla ya JK kuingia Ikulu.
 
kupewa ukatibu mkuu wa sadc , hakuhusiani na kutaka kujitoa eac, bali ni zamu ya tanzania kutoa katibu mkuu.

Kwenye ukatibu mkuu wa SADC hakuna zamu,walioomba wanashindanishwa kama wafanyazi wa kada nyingine(ni kama kugombea uwenyekiti wa AU Commission).Ushindi unategemea nguvu ya nchi kumfanyia kampeni.
 
Back
Top Bottom