Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,128
kuna tabia hasa kwa wavulana kuwajaribu wapenzi wao kama ni wagumu kukubali pindi watongozwapo.
MARA NYINGI WANA TOA NAMBA ZA SIMU KWA RAFIKI ZAO ILI WAWATONGEZE NA WAKATI MWINGINE WANAWEKA LOUD SPEAKER.
pia ubishani wa wavulana juu ya uaminifu wa wenzi wao hupelekea kuwajaribu wasichana wao.MFANO.mmoja anaweza kuwaambia wenzake kuwa demu wake ni mwaminifu sana na hawezi kumkubali mtu yeyote,lakini mbaya zaidi nimewahi kushudia wasichana wengi waliotongozwa kwenye simu na wavulana wasiowajua wakikubali kirahisi tofauti na imani ya wenzi wao(wavulana).
HILI NI TATIZO NA WAKATI MWINGINE LINAVUNJA UHUSIANO WA WAPENZI WAWILI.
My reguards.
1.BOYS & GIRLS STOP THIS HABIT
2.usijaribu sumu kwa kuilamba.
3.wasichana acheni kukubali kirahisi watu msiowajua kwa sababu ya maneno matamu ya kuwabembeleza
MARA NYINGI WANA TOA NAMBA ZA SIMU KWA RAFIKI ZAO ILI WAWATONGEZE NA WAKATI MWINGINE WANAWEKA LOUD SPEAKER.
pia ubishani wa wavulana juu ya uaminifu wa wenzi wao hupelekea kuwajaribu wasichana wao.MFANO.mmoja anaweza kuwaambia wenzake kuwa demu wake ni mwaminifu sana na hawezi kumkubali mtu yeyote,lakini mbaya zaidi nimewahi kushudia wasichana wengi waliotongozwa kwenye simu na wavulana wasiowajua wakikubali kirahisi tofauti na imani ya wenzi wao(wavulana).
HILI NI TATIZO NA WAKATI MWINGINE LINAVUNJA UHUSIANO WA WAPENZI WAWILI.
My reguards.
1.BOYS & GIRLS STOP THIS HABIT
2.usijaribu sumu kwa kuilamba.
3.wasichana acheni kukubali kirahisi watu msiowajua kwa sababu ya maneno matamu ya kuwabembeleza