Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
hahahahahahahah its true my dear... inaongeza hadhi....tena sana aisee!ila umenichekeshaabora ungewaambia mbovu sababu zingine kuzielewa mpaka uwe mfuasi wa ccm.
mimi nkitaka kwenda kukopa gesi ama sukari dukani kwa mangi naendaga na gari yaani hachomoi kirahisi. gari sometimes inaongeza heshma ata bar husumbuliwi sumbuliwi kulipa Bill
Kweli kabisa maana Trafiki wamepewa mamlaka ya TRANa sasa hivi ukiwa na gari ujue umepinga udugu wa damu na Traffic wetu
kwan ht iwe urongo wewe inakusumbua nn mkuuNatabiri kila atakayechangia hii thread atasema ana gari!wakati wengine ni wazee wa ngondi a.k.a guu vumbi
Daaah one day tu
Yani kwenye issue ya mafuta ndio balaa na utaona aibu kuwaomba watakusema vibayaunaniongelea mm hapa !napelekaga wajawazito hspt had nachoka !dah
Uandishi wako sio mzuri.
Acha nafasi kila baada ya neno, zingatia sarufi.
Samahani kama nimekukwaza!!.
Hahahahahah!!natumia device mpya mkuu sijaizoea!ila kuandika najua!
Yani kwenye issue ya mafuta ndio balaa na utaona aibu kuwaomba watakusema vibaya
ukirekebisha mwandiko wako nitakujibu....kwan ht iwe urongo wewe inakusumbua nn mkuu
Nipo hapa nawazoom tu....haya wenye magari yenu hongereni....hebu nijichange ninunue heshima na mimiNatabiri kila atakayechangia hii thread atasema ana gari!wakati wengine ni wazee wa ngondi a.k.a guu vumbi
Hahahahahah!!
Rekebisha key board,
[emoji23]pole sana mkuukuna siku siktoa pesa ya kikoba mama m1 na roho yake mbaya akasema mbn kila siku unaenda na gari kazin! bas uza gari ulipe deni!mxiew
hhhhhahahaha njoo unifundishe kuandika aisee!ww hugusi ht kipua ...ukirekebisha mwandiko wako nitakujibu....
[emoji23]pole sana mkuu
Gari hata spacio kwa bongo ni symbol ya utajiri uliotukuka tena unaweza kurogwa wakati mtu umejinyima tu ili uepuke daladala
hahahaha ayahhhhhahahaha njoo unifundishe kuandika aisee!ww hugusi ht kipua ...
Umejua kunchekesha bibiye😂😂😂😂hyo ni kweli aisee ila ni mbaya jaman!lulitokea msiba sehem nnayoishi !tunajiandaa kwenda msiban hio saa 7 jua kali kama lote !dada wa kazi anakuja aniambia nje majiran wananisubiri mm wapo kama wa4! eti wanajua ntaenda na gari... nilichoka sana!gari haina mafuta kifupi isingeturudisha!akili ikaja niwaambie hko tuendako na waswas na parking!nikawaambia tutembee tu jaman!arghhh
aya ukimaanisha nn mkuuhahahaha aya
ahahaha...jichange ununue na wewe uje kutusimuliaNipo hapa nawazoom tu....haya wenye magari yenu hongereni....hebu nijichange ninunue heshima na mimi
Not "including Tanzania", rather, "especially Tanzania"including Tanzania..
hata sielewiaya ukimaanisha nn mkuu