Namaanisha kuwa elimu sasa si ya ushindani. Sasa imemilikiwa na shule chache. Miaka ya nyuma kidogo,tuliokuwa shule za Serikali tulionekana kama ndio wenye akili. Sasa ni tofauti. Kwanini shule mbili? Elimu imedumaaUnamaanisha nn ? Funguka :confused2::confused2::confused2::confused2:
Mkuu katalina,matokeo ya kidato cha pili ni kama ya darasa la saba. Hayawekwi mtandaoni. Hupatikana kwenye vitabu vya matokeo Wilayani,Mkoani na mashuleni.
Halafu kwa nini MUKHSIN HAMZA yupo peke yake?