Kumheshimu mume ni raha sana

Kumheshimu mume ni raha sana

Sidhani kama wenzio watakuelewa sababu Beijing imepoteza wengi. Hakuna uchawi Wala limbwata ni mama kujua nafasi yake, mume anafuata tu. Kwani wanaume tuna ujanja?
 
Sidhani kama wenzio watakuelewa sababu Beijing imepoteza wengi. Hakuna uchawi Wala limbwata ni mama kujua nafasi yake, mume anafuata tu. Kwani wanaume tuna ujanja?

Ngoja wanakuja utawaskia maneno yao!! sijui nani kawalogo na hicho kibeijini chao!! HAKIKA HUYO MUME KAPATA!!
 
mi nmesoma heading tu maelezo sijasoma...umuheshimu anayekuheshimu fulstop ..sio unamuheshim mume asiyekuheshimu huo ni utumwa wa ndoa kama si wa mapenzi....samtym heshima inaenda likizo kwakweli ..
 
Kwa kweli heshima kwenye ndoa Ni muhimu Sana,yaani kila mtu mume na mke wote wasimame nafasi Yao.Mimi ninaushuuda kwenye ndoa yangu ya miaka 16 sijawai kujutia ndoa yangu Ni burudani yaani kila simu Yuko honeymoon.haina maana atutofautiani laa kila mtu anasimamia misingi ya upendo na kuheshimiana
 
mi nmesoma heading tu maelezo sijasoma...umuheshimu anayekuheshimu fulstop ..sio unamuheshim mume asiyekuheshimu huo ni utumwa wa ndoa kama si wa mapenzi....samtym heshima inaenda likizo kwakweli ..
Dada zetu utandawazi unawaharibu sana. Kwa hiyo ukikosewa heshima nawe unamkosea heshima? Nani atajifunza kwa mwenzake?...no wonder ndoa nyingi zipo ICU.
 
yaani ndio maana unaambiwa kujifunza hakuna umri. real this situation has changed my soul and heart totally nimejifunza jambo kubwa sana yaani nalifeel ndani ya moyo hadi sahivi. mwenzako akikuonyesha upendo nawe rudisha mapenzi kwake baba wawatu maskini kamletea mkewe maji. lingekuwa ligudegude lingine lingeleta mfumo dume"siwezi mchotea mwanamke maji" kumbe ni upendo tu
 
Mmmmmmmmmmmmmmh!

KUMUHESHIMU MUME MWENYE MAHELA KUNAKUJA AUTOMATICALLY TU! Bila jitihada wala bidii binafsi. Manake unajua ukilegea tu NAFASI ISHAKAVWA KITAMBOOOO! Hata kama umenuna ukikumbuka mipea ya viatu isiyo na idadi, kabati la milango sita halifungi lilivoj minguo, simu gani iingie ukose, ukikohoa ushapata, hata atembeze kikojoleo chake mji mzima wala huondoki humo ndani, labda utembeze viwembe tu kwa wadada wa mujini, ila kuachia ngazi watasubiri sanaa. Utahangaikaje kumpulizia incase umechuja kakuchoka choka kimtindo, Utamlisha mizaga yote ya kilingeni atulize korodani, wa kufa na kuzikana.

KUMUHESHIMU MUME HANA KITU, UNAMUWEKA WEWE MJINI, HICHO SI TU KIPAJI NI KARAMA YA KIPEKEE! Lol! Inahitaji mtaala na twisheni juu, maana motivation ni 0. Alijisemea shoga angu saa 7 tunatoka harusini club aulizwa mumeo sawa hakumind huhisi atachepuka hivi usivokuwepo. Akajibu yule bwana mi ndo namuweka mjini, kama kuna mdada na akili zake atamlegezea ampige FREE P, namruhusu tu, maana siku mbili atamchoka na kuniachia, sana sana atanigea off hizo siku 2.
 
Back
Top Bottom