babake nasreen
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 703
- 491
Wakuu habari zenu,
Mnajua mtu unapoamka unawakumbuka ndugu jamaa na marafiki ili kujua wanaendeleaje, kwa zama za sasa tunakutanishwa sana na mitandao ya kijamii km watsap nk.
Siku za hivi karibuni kulikuwa na ndugu yetu chid benz au Rais wa (La familia) ambaye alikuwa amekumbwa na janga la dawa za kulevya kukawa na purukushani na mambo mengi dhidi yake, mara amepelekwa Rehab mara katoroka mara vile nk.
Ghafla imekuwa kimya naomba anayejua yuko wapi na anaendeleaje MSANII CHID BENZ ATUJUZE..
Mnajua mtu unapoamka unawakumbuka ndugu jamaa na marafiki ili kujua wanaendeleaje, kwa zama za sasa tunakutanishwa sana na mitandao ya kijamii km watsap nk.
Siku za hivi karibuni kulikuwa na ndugu yetu chid benz au Rais wa (La familia) ambaye alikuwa amekumbwa na janga la dawa za kulevya kukawa na purukushani na mambo mengi dhidi yake, mara amepelekwa Rehab mara katoroka mara vile nk.
Ghafla imekuwa kimya naomba anayejua yuko wapi na anaendeleaje MSANII CHID BENZ ATUJUZE..
