Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Hili ni deal lá mabeberu kuwatia watu hofu ili wafanye yao kwasababu washambuliaji hawataki kuonesha sura zao ili wajulikane na ikiwezekana wakae chini na serikali ili wayajenge,mbona Mariano Nhongo ambaye wanafanya vurugu central anajulikana na lengo lake kashaliweka wazi,kwanini hawa wa Cabo Delgado hawataki kujitambulisha?
Nalog off
Nalog off