Je ni jaji gani yupo arusha? nasikia tangu jana amebanwa
connet the dots ndugu.........assad kuteuliwa.......and the story will go on but mwisho ni kama burkina!
hivi kwanini aliekua anakaimu nafasi ya cag hakuteuliwa cag badala yake akateuliwa mtu ambaye alikua nje ya taasisi?
hivi kwanini aliekua anakaimu nafasi ya cag hakuteuliwa cag badala yake akateuliwa mtu ambaye alikua nje ya taasisi?
kuna kitu kinatengenezwa hapajambo lipo mana huyu assad jana baada ya kuapishwa ametamka eti kufanya tathmini tena kama pesa ni za umma ama la., kuna kamchezo flani ccm wanajaribu cijuwi itaishia vipi hii movie. Let c..