Kumekucha: Team ubwabwa wamefika ukingoni

Kumekucha: Team ubwabwa wamefika ukingoni

Mwamba Usemao Kweli

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
744
Reaction score
186
Kwa wale waliokimbia sana sakafuni kwenye mbio za urais kwa kutia nia za kuserereka naona hatimaye wamefika ukingoni.

Na ngoma yao waliyoiwamba sanaaaa majukwaani hatimaye inapasuka hivi karibuni.

Team ubwaubwa jiandaeni kisaikolojia.
 
wakafie mbali na jambazi wao,wanakauri mbiu yao ya kijinga "kuwa watanzania wote wamefungwa kwenye viroba vya pesa atakwi mtu"wapuuzi na shetani wao.
 
Lizaboni aliweka mada humu kuwa wajiandae kisaikolojia. Kadri siku zinavyosonga mapigo ya moyo yanaongezeka
 
wakafie mbali na jambazi wao,wanakauri mbiu yao ya kijinga "kuwa watanzania wote wamefungwa kwenye viroba vya pesa atakwi mtu"wapuuzi na shetani wao.

Hii ni mbaya sana kwa nchi. Yaani rais tumpate kwa kuwashindanisha wagombea kutoa pesa? Ni aibu na hatari kwa mustakabali wa nchi.

Tukifanya hivi mwaka huu come 2020 au 2025 itakuwa hivi hivi na watu watakuwa bize kuiba kabla ya hiyo miaka ya uchaguz maana watakuwa wanajua kuwa kinachotakiwa ili ushinde ni kuwa na pesa nyingi tu.

Anahitajika mtu msafi, jasiri, mwenye rekodi ya kupambana na ufisadi na mwenye maono.
 
wakafie mbali na jambazi wao,wanakauri mbiu yao ya kijinga "kuwa watanzania wote wamefungwa kwenye viroba vya pesa atakwi mtu"wapuuzi na shetani wao.


Wewe ni pusi una generalise et watanzania,usiyempenda edo ni wewe binafsi na utaahira wako wenzio wanampenda na atapata kura kuzidi alizopata jk 2005,kaolewe na nape mkimbie nchi
 
Wewe ni pusi una generalise et watanzania,usiyempenda edo ni wewe binafsi na utaahira wako wenzio wanampenda na atapata kura kuzidi alizopata jk 2005,kaolewe na nape mkimbie nchi

baeleze baelewe papaa Lowassa ni mutu ingine
TEAM Lowassa
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni pusi una generalise et watanzania,usiyempenda edo ni wewe binafsi na utaahira wako wenzio wanampenda na atapata kura kuzidi alizopata jk 2005,kaolewe na nape mkimbie nchi

Mwizi huyo hawezi kwenda Ikulu. Haiwezekani mzee yule na mamvi kichwa chote mwizi na fisadi halafu aende ikulu labda ikulu ya Meru kwao.
 
Kwa wale waliokimbia sana sakafuni kwenye mbio za urais kwa kutia nia za kuserereka naona hatimaye wamefika ukingoni.

Na ngoma yao waliyoiwamba sanaaaa majukwaani hatimaye inapasuka hivi karibuni.

Team ubwaubwa jiandaeni kisaikolojia.

Nilipoona team ubwabwa nikajua ni maswaiba wa Madabida akina Ritz
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni pusi una generalise et watanzania,usiyempenda edo ni wewe binafsi na utaahira wako wenzio wanampenda na atapata kura kuzidi alizopata jk 2005,kaolewe na nape mkimbie nchi

Andaa kabisa ndimu na malimao maana kufika tarehe kumi na nne mwezi huu utakuwa unatema tema sana mate kama mjamzito,maana ndugu El ndio raisi wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom