suala la ndoa ni la kibinafsi zaidi huyu mwanamke ukimuuliza atakupa sababu jingi tofauti zilizomfanya aamue kuolewa na mzungu; pia maadam huyu mzungu naye ni binadam mie sioni tatizo hapo la kutubeza wanaume wa kibongo angeamua kuolewa na punda au mbuzi hapo ingetustua"