Kumekucha pccb hawoooo!!!


absolutely
 
Mh.. watu karibu 30,000 waliapply.. tukitoa watu elf 5 wasio na vigezo wanabaki 25 elfu.. kwa njia rahisi, probability ya kila mmoja wenu kuitwa kwenye interview inakuwa
1/25000 ambayo ni sawa na 0.00004..

kila la heri..

Toa sure probability, wanaosalia wana probability ya o.ooooooooooo9. Ambayo ni sawa na wamekosa
 

me mbona nimeshapigiwa cmu na nimetumiwa na email jana kuwa j.mosi niende kwenye interview na hao pccb
 
me mbona nimeshapigiwa cmu na nimetumiwa na email jana kuwa j.mosi niende kwenye interview na hao pccb
sawa itakuwa ndiyo wameanza hivyo. Ni kweli interview inaweza kuanza jumamosi kama nilivyodokeza kwenye post yangu.
 
Mh.. watu karibu 30,000 waliapply.. tukitoa watu elf 5 wasio na vigezo wanabaki 25 elfu.. kwa njia rahisi, probability ya kila mmoja wenu kuitwa kwenye interview inakuwa
1/25000 ambayo ni sawa na 0.00004..

kila la heri..

p = 0.00004 x Q
Q = idadi inayotakiwa
 
tutajua hyo kesho Mungu akipenda..km watoa hayo majina
 
absolutely

Kwa utaratibu wa kuita watu kwenye usaili hasa serikalini ni nafasi moja watu watatu hivyo kama nafasi hizo 250 ni kuzidisha mara tatu..hiyo na kwa usaili wa mahojiano ya ana kwa ana..wanaweza kuita watu wengi kabla na kuwachuja kwa usaili wa kuandika ili kufikia huo uwiano nilioutaja.
 
Nafasi zitatolewa kwenye gazeti la daily news msiwe na papara... aliepost yupo sahihi sema ajaulizwa
 
hao watakuwa kcb na si PCCB,PCCB hawajaita mtu,na wakutumie email kwani we nani???

mbona kama umepanic sasa?? we kama hutaki me cwez kukushikia fimbo. ww kama haujaitwa jua umekosa, tafuta kwingine tu..ha ha..
 
Nafasi zitatolewa kwenye gazeti la daily news msiwe na papara... aliepost yupo sahihi sema ajaulizwa
No katika hali ya kupeana taalialifa tu siyo lazima kulizwa. Amini nakuambia kuna watu wanajua hata maswali yatakayoulizwa ila wameuchuna tu. Wao na mimi bora nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…