Kumekucha, Netanyahu threatens to nuke Iran this time!

Kumekucha, Netanyahu threatens to nuke Iran this time!

Akiuliwa kibabe kama alivyouliwa Ali Khamenei, watatumia. Wale akili yao sio nzuri—wamewahi kutumia nukes kwenye mazingira rahisi zaidi ya hayo!

Wasimuue huyo Trump huko mbali. Wamuue tuu Netanyau. Wataelewa maana halisi ya Kafiri. Wazungu ni makafiri kuliko ukafiri wenyewe. Wakikuamulia wamekuamulia.

Tatizo watu ni wasahaulifu.
 
Kwenye NK unaweza weka hata China hata Russia hawa wana silaha za maangamizi wanapaswa kudhibitiwa na U.S kama alivyofanywa Saadam.

Mifano ipo mingi tu ukitoa NK
Soma NPT ilianzishwa lini na Tume ya Atomiki ilianza lini.
 
Kwani kavamia Iran kwa sababu gani ?
Kwa sababu Iran anatumia convention weapons kushambulia majirani, na anapanga kuangamiza mshirika wa US. Hivyo akipata nukes agenda yake inaendelea. Lini ulisikia North Korea imewapa magaidi silaha washambulie majirani?
 
Who is worse than the U.S. in this context?
Last time US aingia Korean peninsula ni pale North Korea ilivyoivamia South Korea mpaka kuelekea kushinda.

Ili ulete hoja yako vema, fanya North Korea ivamie tena South Korea ndio utaona Marekani ni nani. Otherwise utaendelea kuhisia tu kwamba US ina mpango wa kupigana na N. Korea.
 
iRGC wanajifanya kama wao ndio wakuu wa jihad wa wavaa mashuka duniani kote.

Waliapa kutengeneza kalifeti ya kishia kwa kuangamiza wayahud, wakrsto, yazid na kurd na wasuni wanaowapinga.

Muda wao unazidi kwenda, tik tok, tik tok.
kama benjamin kashafeli atafnyaje sasa,uwezo wa kupigana na iran hana,atafanyaje?
 
Hilo haliwezekani maana maafa yatakuwa si Kwa Iran tu Bali mashariki ya Kati yoteee na dunia Kwa ujumla, Iran bado ana nguvu na chain of command Yao iko very complicated kumbuka kuna Biological & Chemical weapons ambazo zinaweza kuwa Option ya mwisho na isiyotarajiwa...Nchi yoyote ambayo inaishi Kwa Hali ya mashaka na tahadhari basi huwa inakuwa na option ya mwisho ambayo ni Ile ya TUKOSE WOTE...
 
kama benjamin kashafeli atafnyaje sasa,uwezo wa kupigana na iran hana,atafanyaje?

duh. last time i check, viongozi wote wa islamic republic wameuliwa kuanzia kiongozi wao mkuu ayatola ambaye ni amiri jeshi mkuu, mkuu wa majeshi soleimani mpaka familia na wajukuu wa ayatola, adui anabomoa miundo mbinu ya nchi yako anavyotaka kujisikia na hauna uweo wowote au revenge halafu bado unasema hawana uwezo wa kupigana na irani? USA anaingia na kutoka anga ya irani anavyotaka, wewe adui yako anaingia na kutoka nyumbani kwako anavyotaka anachukuwa anachotaka halafu bado unasema kwamba hana uwezo wa kupigana na wewe? ...
 
Iran hana nuclear, Israel na CIA wangeshajua.

duh. last i check, viongozi wote wa islamic republic wameuliwa kuanzia ayatola ambaye ni amiri jeshi mkuu, mkuu wa majeshi soleimani mpaka familia na wajukuu wa ayatola, halafu bado unasema hawana uwezo wa kupigana na irani? USA anaingia na kutoka anga ya irani anavyotaka, wewe adui yako anaingi nyumbani kwako anavyotaka anachukuwa anachotaka ahalfu bado unasema kwamba hana uwezo wa kupigana na wewe? ...
so why nukes while they killed all those people...did benjamin say why he have to hit IRAN with nuclear?KWANINI MTU MWENYE UWEZO ATUMIE PANGA KUPIGANA NA ASIYE NA UWEZO...binadamu huchukuaga maamuzi mabaya pale tu anaposhindwa
 
so why nukes while they killed all those people...did benjamin say why he have to hit IRAN with nuclear?KWANINI MTU MWENYE UWEZO ATUMIE PANGA KUPIGANA NA ASIYE NA UWEZO...binadamu huchukuaga maamuzi mabaya pale tu anaposhindwa

unamaanisha nini unaposema "maamuzi mabaya"? vita haina macho, na kila silaha inaruhusiwa na ambaye ana superior weapon anashinda, iko hivyo tangia ujima kama wewe una mawe adui ana uwezo wa kutengeneza upinde imara na mishale yenye sumu kali atakushinda, sasa hauwezi kisema kwamba usitumie mishale wote tutumie mawe tuone nani ni mshindi, i mean na wewe tengeneza upinde imara zaidi ya adui, kama hauwezi acha kupoteza muda na maisha ya watu wako surrender na jipamge upya ,,,
 
yes, ikitokea D.Trump kama raisi wa USA akawa assasinated na nchi nyingine, USA will revenge hata kama ikibidi nuclear weapons kulingana na uwezo wa adui, haijawahi kutokea raisi wa USA akawa assasinated na nchi nyingine wakiwa vitani ...
Huyo kama wakitaka kummaliza watamtumia mmarekani mwenzake wala sio mtu atoke Iran. Kama ambavyo alilengwa kwenye kampeni na aliyedakwa alikua mmarekani basi ndio next time.
 
, na kila silaha inaruhusiwa
Sio kweli kuwa silaha zote zinaruhusiwa, in fact Israel hajawahi kiri anazo nuclear wala hajawahi ruhusu kukaguliwa so anazo illegaly na akitumia basi tegemea retaliation kutoka Pakistan na dunia inaweza Ingia kwenye nuclear holocaust.
sasa hauwezi kisema kwamba usitumie mishale wote tutumie mawe tuone nani ni mshindi, i mean na wewe tengeneza upinde imara zaidi ya adui, kama hauwezi acha kupoteza muda na maisha ya watu wako surrender na jipamge upya ,
Sio kweli, kwenye vita haupaswi kuua wasio wanajeshi kwahiyo tumia silaha yoyote superior ya kummaliza adui huku ukipunguza madhara kwa raia wema otherwise hata Russia ingeshatumia Nuclear bombs kumalizana na Ukraine pia China ingetumia kumalizana na Taiwan.
 
unamaanisha nini unaposema "maamuzi mabaya"? vita haina macho, na kila silaha inaruhusiwa na ambaye ana superior weapon anashinda, iko hivyo tangia ujima kama wewe una mawe adui ana uwezo wa kutengeneza upinde imara na mishale yenye sumu kali atakushinda, sasa hauwezi kisema kwamba usitumie mishale wote tutumie mawe tuone nani ni mshindi, i mean na wewe tengeneza upinde imara zaidi ya adui, kama hauwezi acha kupoteza muda na maisha ya watu wako surrender na jipamge upya ,,,
wala hujajibu swali kwamba kwanini benjamin atumie nuclear?kuna vitu haviitaji ushabiki vinahitaji maarifa tu,just sit there soma mchezo uangalie na kutafakari kwanini huyu anafanya hivi na vile,kwanini huyu anasema hivi na vile

kila siku mnatuambia israeli ni mwamba kwenye maswala ya vita ki ukweli hamsemi hivyo kwasababu eti ana nuclear...na kama kila silaha inaruhusiwa kwann IRAN haruhusiwi kuwa nuclear,umeelewa hapo ulichosema au ni kutojitambua na ushabiki tu!

UKWELI MCHUNGU ILA ITABAKI KUWA NUCLEAR NI KITU CHA MWISHO KABISA KUTUMIA BAADA KUONA KILA KITU UMESHINDWA.
 
Msikilize mwenyewe Netanyahu, anasema this time there will be no next time ...


Benjamin Netanyahu has now publicly threatened to use nuclear weapons against Iran while speaking in Dimona, near Israel's main nuclear research facility, where the country maintains an undeclared nuclear weapons program.Netanyahu made it clear that this "will be a very different event and much more powerful.""We are prepared for any scenario."
Hakuna popote amesema watatumia nuclear. Yeye amesema enzi za kushambuliwa bila kulipa mara dufu zimepita. Na akasema ameshafanya hivyo kwa Axis (hezbollah na Hamas). Kwahiyo kama issue ni nuclear kwani amewahi tumia nuclear Lebanon na Gaza?

Naona lugha bado changamoto
 
Mkuu kwanini unaona kati ya nchi zote duniani US anastahiri kuivamia North Korea.
North Korea ni tishio kwa South Korea na Japan..

Kim amekuwa akirusha roketi na kufanya majaribio ya makombora Kila mara huku akiwa na Mpango wa kuongeza na kuboresha silaha zake za nyuklia....hili ni tishio kwa Marekani na Japan.
 
sisi masikini tunasema nyuklia zitumike dunia yenyewe iishe wote tukose manina..
 
wala hujajibu swali kwamba kwanini benjamin atumie nuclear?kuna vitu haviitaji ushabiki vinahitaji maarifa tu,just sit there soma mchezo uangalie na kutafakari kwanini huyu anafanya hivi na vile,kwanini huyu anasema hivi na vile

kila siku mnatuambia israeli ni mwamba kwenye maswala ya vita ki ukweli hamsemi hivyo kwasababu eti ana nuclear...na kama kila silaha inaruhusiwa kwann IRAN haruhusiwi kuwa nuclear,umeelewa hapo ulichosema au ni kutojitambua na ushabiki tu!

UKWELI MCHUNGU ILA ITABAKI KUWA NUCLEAR NI KITU CHA MWISHO KABISA KUTUMIA BAADA KUONA KILA KITU UMESHINDWA.

nuclear ni final solution, japan (vita kuu ya 2 ) alikuwa nuked kwa sababu alikataa ku-surrender, nuke ilimaliza vita ....
 
viongozi wote
This is an overstatement, WOTE kivipi? IRGC ingebaki vipi madarakani kama WOTE wameshakufa? Mnapenda kukuza vitu sana.
mkuu wa majeshi soleimani mpaka familia na wajukuu wa ayatola,
Ayatollah mbona watoto wake na wajukuu walikuwepo kwenye msiba tena madume kibao tu. Pia mkuu wa majeshi Ahmad Vahidi yupo hai na amekuwepo top rank IRGC tokea miaka ya 80 so unaposema WOTE wameuwawa unakosea sana.
USA anaingia na kutoka anga ya irani anavyotaka, wewe adui yako anaingia na kutoka nyumbani kwako anavyotaka anachukuwa
Sio kweli mpaka ceasefire ilikua ndege 42 zimedunguliwa au damaged na hii ni kwa mujibu wa taarifa ya bunge la USA. Kwahiyo mtu anayeingia free hawezi dunguliwa. Pia Iran mbona inalipua makambi ya jeshi la marekani kwani ina maana US haina ulinzi imara? Hata hao Israel mbona kipindi cha vita kombora yalikua yanapita hadi yakalipua petrochemical sites za Dimona, bandari ya haifa, research institutes, hopistali, kambi za jeshi n.k
halafu bado unasema kwamba hana uwezo wa kupigana na wewe? ...
Hii vita walianzisha ili waung'oe utawala wa IRGC na wachukue hizo enriched uranium. Je wamefanikiwa katika hayo? Kma hawajafanikiwa ndio hiko tunasema hawana uwezo maana hizo ni airstrikes tu ila hakunaga nchi imepigwa kwa ndege tu lazima ulete askari wa miguuni na US and Israel wanajua hilo ila hawana huo ujasiri maana itakua bloody war kuliko Ukraine
 
Hakuna popote amesema watatumia nuclear. Yeye amesema enzi za kushambuliwa bila kulipa mara dufu zimepita. Na akasema ameshafanya hivyo kwa Axis (hezbollah na Hamas). Kwahiyo kama issue ni nuclear kwani amewahi tumia nuclear Lebanon na Gaza?

Naona lugha bado changamoto

unajua alitoa hiyo speech akiwa wapi? …
 
Back
Top Bottom