Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,797
- 90,152
Akiuliwa kibabe kama alivyouliwa Ali Khamenei, watatumia. Wale akili yao sio nzuri—wamewahi kutumia nukes kwenye mazingira rahisi zaidi ya hayo!
Wasimuue huyo Trump huko mbali. Wamuue tuu Netanyau. Wataelewa maana halisi ya Kafiri. Wazungu ni makafiri kuliko ukafiri wenyewe. Wakikuamulia wamekuamulia.
Tatizo watu ni wasahaulifu.