Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,443
- 46,196
Kipigo cha mbwa koko anachopata Iran sasa hivi kikakumbukimbizaWasijiue Stockpile ya Uranium enrichment ipo wapi wajue ana boom hahaha
Kipigo cha mbwa koko anachopata Iran sasa hivi kikakumbukimbizaWasijiue Stockpile ya Uranium enrichment ipo wapi wajue ana boom hahaha
Mbona Iran harushi hata jiwe hapo Israel anarusha kwa Waislam wenzakeIsrael ni kati ya Mataifa majinga kabisa kwa kukubali Marekani iweke Kituo cha kijeshi pale; Inamaana kila Marekani inapopambana na Nchi yoyote ya middle East vita itapigwa Israel badala ya Marekani.
Na ukiona Israel inalia lia kutaka kutumia Nuclear ambayo imekatazwa kabisa kutumika duniani; Ujue maji yamefika shingoni....
Kwa hio Trump akiuliwa USA atatumia Nuclear sio haya tusubiri nasikia siku zake hazipo mbali yeye mwenyewe Trump kakiri hayo.
USA hawahitajigi sababu yenye mashiko kufanya uvamizi. Walivamia Vietnam, Iraq, Libya, Iran, Venezuela, etc. kwasababu gani?US avamie North Korea kwa sababu gani?
Israel ni kati ya Mataifa majinga kabisa kwa kukubali Marekani iweke Kituo cha kijeshi pale; Inamaana kila Marekani inapopambana na Nchi yoyote ya middle East vita itapigwa Israel badala ya Marekani.
Na ukiona Israel inalia lia kutaka kutumia Nuclear ambayo imekatazwa kabisa kutumika duniani; Ujue maji yamefika shingoni....
Mkuu kwanini unaona kati ya nchi zote duniani US anastahiri kuivamia North Korea.USA hawahitajigi sababu yenye mashiko kufanya uvamizi. Walivamia Vietnam, Iraq, Libya, Iran, Venezuela, etc. kwasababu gani?
Israel ni kati ya Mataifa majinga kabisa kwa kukubali Marekani iweke Kituo cha kijeshi pale; Inamaana kila Marekani inapopambana na Nchi yoyote ya middle East vita itapigwa Israel badala ya Marekani.
Na ukiona Israel inalia lia kutaka kutumia Nuclear ambayo imekatazwa kabisa kutumika duniani; Ujue maji yamefika shingoni....
Who is worse than the U.S. in this context?Mkuu kwanini unaona kati ya nchi zote duniani US anastahiri kuivamia North Korea.
Kwa hiyo nchi kama North Korea unadhani atafata sheria ya kuzuia kuza Nuclear Boom kwani wewe akili yako Nuclear Boom huwezi ku disassembled and reassembled Ulisoma wapi wewe mpaa ukawa na akili za kuwaza matakoNuclear sio kama matako kila mtu awe nayo
Sawa tutaona kama atatumia Nuclear sababu ya TrumpetAkiuliwa kibabe kama alivyouliwa Ali Khamenei, watatumia. Wale akili yao sio nzuri—wamewahi kutumia nukes kwenye mazingira rahisi zaidi ya hayo!
USA ni mbwebe tu mwambie apitishe meli pale Hormuz si kila siku anajidai anauwezo huo na Hormuz iko chini yake hahaha tatizo wewe hujui Iran anavyo mtembezea kichapo ma billion ya USA yanapotea USA anadhani kupiga bridge na baadhi ya miundombinu Iran ndio atainua mikono hahaha anaota.Kipigo cha mbwa koko anachopata Iran sasa hivi kikakumbukimbiza
Kirahisi tu unafungulia eeehAssuming you’re right, wanasubiri kitokee nini ndipo azitumie? Kuuliwa makusudi kwa head of state wao ilikuwa sababu tosha ya kufungulia nukes!
Kuangamizwa kibabe kwa leadership lineup ya nchi ni tishio jepesi?Kirahisi tu unafungulia eeeh
USA ni mbwebe tu mwambie apitishe meli pale Hormuz si kila siku anajidai anauwezo huo na Hormuz iko chini yake hahaha tatizo wewe hujui Iran anavyo mtembezea kichapo ma billion ya USA yanapotea USA anadhani kupiga bridge na baadhi ya miundombinu Iran ndio atainua mikono hahaha anaota.
Usiwe kama Waislam wanaishi kwa assumption tu, wewe wapi umesikia Israel imesema itatumia Nuclear? Hiyo Video hamna popote aliposema hata bomu kubwa , kusema much more Powerful respond haimanishi Nuclear. Israel knows how to make you feel painful .. yaani Mwana ukome Pushing ''The nuclear button'' kuna time ikiwa mbaya au ukishachoka kuigana unamaliza 1 burtonIsrael ni kati ya Mataifa majinga kabisa kwa kukubali Marekani iweke Kituo cha kijeshi pale; Inamaana kila Marekani inapopambana na Nchi yoyote ya middle East vita itapigwa Israel badala ya Marekani.
Na ukiona Israel inalia lia kutaka kutumia Nuclear ambayo imekatazwa kabisa kutumika duniani; Ujue maji yamefika shingoni....
Kwani kavamia Iran kwa sababu gani ?US avamie North Korea kwa sababu gani?
Kwenye NK unaweza weka hata China hata Russia hawa wana silaha za maangamizi wanapaswa kudhibitiwa na U.S kama alivyofanywa Saadam.Mkuu kwanini unaona kati ya nchi zote duniani US anastahiri kuivamia North Korea.
Iran ana kombora la nyuklia ambalo limeshakamilika na liko tayari kutumika na ndicho kinachomhangaisha sanaaaaa Netanyau.Iran anazo Nuclear usitie wasi wasi huyu Shetanyahu ataishia kaburini yeye kwanza kabla ya Iran
Wewe mjinga! Mtu anaingia hadi kuua kiongozi mkubwa, asijue kuna nini uvunguni. Wakati mwingine Acheni utotoShetanyahu anadhani Iran hana Nuclear hahaha yeye wa kwanza atapotezwa