Kumekucha, Netanyahu threatens to nuke Iran this time!

Kumekucha, Netanyahu threatens to nuke Iran this time!

This is an overstatement, WOTE kivipi? IRGC ingebaki vipi madarakani kama WOTE wameshakufa? Mnapenda kukuza vitu sana.

Ayatollah mbona watoto wake na wajukuu walikuwepo kwenye msiba tena madume kibao tu. Pia mkuu wa majeshi Ahmad Vahidi yupo hai na amekuwepo top rank IRGC tokea miaka ya 80 so unaposema WOTE wameuwawa unakosea sana.

Sio kweli mpaka ceasefire ilikua ndege 42 zimedunguliwa au damaged na hii ni kwa mujibu wa taarifa ya bunge la USA. Kwahiyo mtu anayeingia free hawezi dunguliwa. Pia Iran mbona inalipua makambi ya jeshi la marekani kwani ina maana US haina ulinzi imara? Hata hao Israel mbona kipindi cha vita kombora yalikua yanapita hadi yakalipua petrochemical sites za Dimona, bandari ya haifa, research institutes, hopistali, kambi za jeshi n.k

Hii vita walianzisha ili waung'oe utawala wa IRGC na wachukue hizo enriched uranium. Je wamefanikiwa katika hayo? Kma hawajafanikiwa ndio hiko tunasema hawana uwezo maana hizo ni airstrikes tu ila hakunaga nchi imepigwa kwa ndege tu lazima ulete askari wa miguuni na US and Israel wanajua hilo ila hawana huo ujasiri maana itakua bloody war kuliko Ukraine

ayatola alikuwa ni amiri jeshi mkuu na aliuliwa, hakuna defeat kama hiyo hasa unapoahindwa ku-inflict the same kwa adui …
 
unajua alitoa hiyo speech akiwa wapi? …
Vyovyote lakini hakuna sehemu katishia tumia nuclear, yeye kasema akiguswa atalipa mara dufu KAMA ALIVYOFANYA kwenye "Axis of evil" sasa nikikuuliza ni lini Israel ilitumia nuclear Lebanon?
 
ayatola alikuwa ni amiri jeshi mkuu na aliuliwa, hakuna defeat kama hiyo hasa unapoahindwa ku-inflict the same kwa adui …
Wala sio hoja, RPF ya kagame ilipovamia Rwanda walipoteza mkuu wao wa majeshi Fred Rwigyema siku ya kwanza tu ya vita ila bado walipindua nchi kwahiyo kupoteza kiongozi sio issue.

Hata Taleban walimpoteza Osama ila leo hii wamechukua tena madaraka wakiwa imara kuliko miaka yote.

Aliyewadanganya kuwa kiongozi akiuwawa ndio vita imeisha ni utoto maana wanapigania agenda sio mtu.
 
Vyovyote lakini hakuna sehemu katishia tumia nuclear, yeye kasema akiguswa atalipa mara dufu KAMA ALIVYOFANYA kwenye "Axis of evil" sasa nikikuuliza ni lini Israel ilitumia nuclear Lebanon?

vyovyote maana yake nini? nimeuliza tu swali unafahamu sehemu aliyoongelea hayo? plus unafahamu ku-read between the lines? ...
 
Wala sio hoja, RPF ya kagame ilipovamia Rwanda walipoteza mkuu wao wa majeshi Fred Rwigyema siku ya kwanza tu ya vita ila bado walipindua nchi kwahiyo kupoteza kiongozi sio issue.

Hata Taleban walimpoteza Osama ila leo hii wamechukua tena madaraka wakiwa imara kuliko miaka yote.

Aliyewadanganya kuwa kiongozi akiuwawa ndio vita imeisha ni utoto maana wanapigania agenda sio mtu.

ayatola siyo sawa na sijui rwigyemai, ayatola ni amiri jeshi mkuu ni sawa na Samia wa tanzagiza au Ruto wa kenya au hata D.Trump wa USA, ayatola alikuwa ni commander in chief of the islamic republic of irans armed forces hivyo huyo Rwigyema saizi yake labda ni Nkunda wa tanzagia.

sasa commander in chief kuwa assasinated na enemy state tena siyo kwa kujificha bali wazi kabisa na kuitangazia dunia hakuna declaration of war bigger than that dunia hii, adui amesha violet all boundaries na ku-cross all red lines i mean, ni sawa na leo hii utangaze vita labda dhidi ya uingereza halafu um-assassinate king Charles kwa missile attack, unafikiri english armed forces watakaa kimya baada ya adui kumuua mkuu wao king Charles kwa missiles ambazo wanajua zilikotoka na nani kazirusha? ...
 
Kwa sababu Iran anatumia convention weapons kushambulia majirani, na anapanga kuangamiza mshirika wa US. Hivyo akipata nukes agenda yake inaendelea. Lini ulisikia North Korea imewapa magaidi silaha washambulie majirani?
Jirani gani kashambuliwa na Iran ?

NK kila muda inafanya majaribio ya makombora yake ya kinyuklia yanayo pita katika anga za majirani yake Japan mara kwa mara amekuwa akilalamika kuhusu hili.

NK haijaacha uchokozi kwa SK inafanya mara kwa mara.

NK imepeleka sio tu silaha Urusi kuipiga Ukraine bali imepeleka mpaka askari kuwa shambulia Ukraine.

Nani ni gaidi na nani sio ? Ni sifa zipi zinakufanya utamke kuwa watu fulani ni magaidi ?
 
Last time US aingia Korean peninsula ni pale North Korea ilivyoivamia South Korea mpaka kuelekea kushinda.

Ili ulete hoja yako vema, fanya North Korea ivamie tena South Korea ndio utaona Marekani ni nani. Otherwise utaendelea kuhisia tu kwamba US ina mpango wa kupigana na N. Korea.
Huo mpango unaweza usiwe wazi moja kwa moja lakini matendo ya U.S kama kuitaka NK kuangamiza silaha zake za kinyuklia na vikwazo inavyozidi kuiwekea inaonesha adhima yako kuu nini inataka kwa NK
 
Back
Top Bottom