Kumekucha!Kuna kila dalili kesho Msajili kuzungumza na vyombo vya habari

Hana jipya huyo msajili wa vyama vya siasa, yeye ni mtumwa tu wa hujuma. Sitegemei lolote la maana toka kwake zaidi ya kutapika atakachoagizwa na jiwe.
 
Kwani katiba ya Chadema inaonesha vipi juu ya ukomo wa uongozi ndani ya chama chao?
 
Ukomo wa mwenyekiti wa cuf ni lini?

Hivi jiwe akibadili katiba kuondoa ukomo muda wa uraisi ataendelea kuwa mwenyekiti wa ccm?? Au atakuwa mwenyekiti wa chama automatically bila ukomo??
 
Lipumba yupo cuf tokea 95 na huyo mutungi kalazimisha aendelee chairman wa cuf sasa asitulazimishe kuondoka mbowe wetu
 
Pole, kapokee bk 7 haraka. Kesho dirisha LA malipo pia litafungwa.
Duru zinatabanaisha kuwa kesho mchana msajili wa vyama vya Siasa atazungumza na vyombo vya habari kuhusu mambo kadha wa kadha.


Kikubwa hasa kinachotarajiwa ni kuhusu ukomo wa Viongozi wa kuchaguliwa wa Chadema na tayari mda wa wao kuwa katika nafasi zao ulishakoma.



Sasa msajili ataamuaje!?Tega sikio.
 
Duru zinatabanaisha kuwa kesho mchana msajili wa vyama vya Siasa atazungumza na vyombo vya habari kuhusu mambo kadha wa kadha.


Kikubwa hasa kinachotarajiwa ni kuhusu ukomo wa Viongozi wa kuchaguliwa wa Chadema na tayari mda wa wao kuwa katika nafasi zao ulishakoma.



Sasa msajili ataamuaje!?Tega sikio.

Kwani msajili ndiye anayeamua muda wa kiongozi wa chama kuwa madarakani au ni katiba ya chama.
 
Bila shaka haya ni maagizo kutoka juu!!

Nitamuona wa maana kama ataongelea/atakemea kitendo kilichofanywa na Naibu Spika kule Mbeya japo pia anaweza kuongea kama zuga tu ila lengo halisi likawa ni hilo la uchaguzi wa CHADEMA.


Ni sawa lakini CDM haipaswi kujifikisha mahali pa kunyooshewa kidole
 
Duru zinatabanaisha kuwa kesho mchana msajili wa vyama vya Siasa atazungumza na vyombo vya habari kuhusu mambo kadha wa kadha.


Kikubwa hasa kinachotarajiwa ni kuhusu ukomo wa Viongozi wa kuchaguliwa wa Chadema na tayari mda wa wao kuwa katika nafasi zao ulishakoma.



Sasa msajili ataamuaje!?Tega sikio.
Yawezekana vyama vya siasa mtavivuruga lakini je nguvu ya umma nayo mtaivuruga? Mna upinzani na wananchi sio vyama vya siasa ACHENI KUWEWESEKA MITAANI WANAKUONENI HAMNAZO
 
Duru zinatabanaisha kuwa kesho mchana msajili wa vyama vya Siasa atazungumza na vyombo vya habari kuhusu mambo kadha wa kadha.


Kikubwa hasa kinachotarajiwa ni kuhusu ukomo wa Viongozi wa kuchaguliwa wa Chadema na tayari mda wa wao kuwa katika nafasi zao ulishakoma.



Sasa msajili ataamuaje!?Tega sikio.
Chadema watafanyaje uchaguzi wakati polisi wanazuia mikusanyiko? Mie nashauri Msajili ateue Kada wa CCM kuwa Mwenyekiti wa Chadema hakuna kunachoshindika chini ya ccm
 
Back
Top Bottom