well said bro....Aisee........
Huyo jamaa ana matatizo,tena makubwa sana...Anasumbuliwa na tatizo la Upungufu wa Uaminifu katika Mapenzi......Wivu wa kijinga..
Hii ni mbaya sana,inaweza ikapelekea/ikamchochea mkewe kufanya kweli......
Kwangu mimi simu yangu ni yangu na ya mama Kabula(mrs) ni ya kwake,hakuna kitu kizuri kama privacy kwenye simu(na si mambo mengine ya kindoa).......Kama mke si mwaminifu si mwaminifu tu,kuna mbinu nyingi kweli za kucheat,so kumnyang'anya simu haisaidii zaidi ya kumchochea afanye vitendo hivyo.....Huyo jamaa aache mambo yake hayo,asitke kutudhalilisha walume bure.....
Mke mkeo tu.........Haibwi.
Bala.
Simu yangu ni my own property. Na yake ni yake.
Siigusi simu yake, she doesn't touch mine.
Thats our agreement and it works.
We are happy with our contract.
No one will break it. Ever!
Mwambie rafiki yako ameamua kwa makusudi kumlazimisha mke wake kutembea nje ya ndoa yao!
Kuna rafiki yangu alikuwa na tabia kama hiyo. Mke wake akaenda kwenye kampuni ya simu akawaambia simu yake imeibiwa na ikawa "blocked" wala hakutaka ku-renew namba bali akachukua line nyingine. Huyo mwanamke mpaka leo hamiliki simu na wala hataki kuwa na simu. BUT. Imemuwia rahisi kufanya anachotaka once mume wake anapokuwa hayupo - she is not traceable! Mume akisafiri, mke anaendelea na mambo yake, na kwa sababu hana simu mume awezi kuulizia ulikuwa wapi?
<br><br>its a good idea mazeeMwambie rafiki yako ameamua kwa makusudi kumlazimisha mke wake kutembea nje ya ndoa yao!<br>
<br>
Kuna rafiki yangu alikuwa na tabia kama hiyo. Mke wake akaenda kwenye kampuni ya simu akawaambia simu yake imeibiwa na ikawa "blocked" wala hakutaka ku-renew namba bali akachukua line nyingine. <span style="color:#ff0000;">Huyo mwanamke mpaka leo hamiliki simu na wala hataki kuwa na simu. BUT. Imemuwia rahisi kufanya anachotaka once mume wake anapokuwa hayupo - she is not traceable! Mume akisafiri, mke anaendelea na mambo yake, na kwa sababu hana simu mume awezi kuulizia ulikuwa wapi?</span>
its a good idea mazee
And I practice what I preach!Thats a very good principle and healthy one.......lol......
Kama alishawahi kwenda, siyo mzee mwenzangu?Unajua mkuu.....wanaume wengi sana tunafanya makosa kudhani kwamba wanawake hawana akili au akili zao ni ndogo wakati wanawake kibao wana akili sana na ni smart kutuzidi. Kwa ufupi huyu jamaa ni idiot...Na kama mwanamke ni smart...basi jamaa asubiri maumivu kama alivyodokeza Baba Enock!
Kwani ni mara ngapi kwenye mambo hayo mwanamke anakupa escape route mpaka unashangaa? Huyu jamaa bora arudi jandoni mapema kabla hajafa akamwacha huyo mke wake...na watu wakatesa naye kwa uhuru zaidi!!
Kama alishawahi kwenda, siyo mzee mwenzangu?
Anaiita presha kwa nguvu kweli huyo kilaza. Sipati picha akiwa na hiyo cmu ya mkewe halafu ikaita naona anairukia kwa uchu wa kufumania akikuta sie anatamani kum2kana aliyepiga kama anamjua. Mwambie aandike wosia kabisa maana soon ata R.I.P kwa presha.
Inabifi ifike wakati tuache kutumia simu..Yani hizi presha za kila siku kwa hii teknolojia tunaelekea pabaya!
Kuna wanandoa nawafahamu, hawa wana simu ya nyumbani tu. Hamna mwenye personal mobile, wako very okay!!
swahiba, and that is my spirit...
this dude anatudhalilisha and i hope anaingia JF.... ukimuona huwezi amini
MTM
Mahusiano ya kileo ni mashaka matupu.Bora kiama kije.
Wahenga ndio walifaidi mapenzi.
MTM.........this is very interesting pains!! yaani huyu jamaa yako dah hata sijui nianzie wapi.....najiuliza
1. Je alishawahimfumania mkewe au kuona dalili ya ukosefu wa uaminifu?
2. Kama hajawahi ilikuwaje akaoa mke asiyemwamini?
3. Nina wasiwasi kuwa yeye ndiye mchafu wa tabia na anajua kabisa namna wake za watu wanaotoka nje ya ndoa zao na pengine naye anahusika so anahisi kuwa na mkewe naye anafanya ayafanyayo yeye!!
mambo mengine haya too much... usikute huyo mume yeye ndo msaliti...
ila mambo mengine ni bora kuwekana wazi na kujua misimamo kipindi cha awali...
simu ya mkononi ya mtu unakaa nayo siku mbili ili iweje? ufumanie? khaaaa!!! mwanaume wa aina hiyo ukute hata simu yake uigusi!!!!
udhalilishaji mwengine huu
aibu kabisaaaa
mapenzi si