Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa

Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa

katusyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
1,455
Reaction score
434
Ni Jpili nyingine wapendwa tunakumbushana maneno ya Mungu maneno ya Mungu yanatwambia kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa ebu twendeni makanisani tukamwabudu Mungu alie hai Mungu alieziumba mbingu na nchi tujifunze kusamehe na kutubu madhambi yetu, maandiko yanatwambia yeyote asiesamehe hatasamehewa na baba yangu, nikutakien jpili njema.
 
Actually it is the direct opposite of it. Religious folks tend to have low knowledge accompanied by a small IQ
 
Ubarkiwe ila tungejumuika Jana jmoc yaan sabato ingenoga.
 
Nimefurah Sana Kama Mchungaji Kuona Kumbe Kuna Watu Wanamthamini Mungu Humu,

Ninaubariki Ujumbe Huu Na Mtoa Mada Kwa Mamlaka Ya Jina La Yesu Kristo, Ufanyike Baraka,na Nuru Kwa Kila Atakaesoma Na Kuamini.
 
Nimefurah Sana Kama Mchungaji Kuona Kumbe Kuna Watu Wanamthamini Mungu Humu,

Ninaubariki Ujumbe Huu Na Mtoa Mada Kwa Mamlaka Ya Jina La Yesu Kristo, Ufanyike Baraka,na Nuru Kwa Kila Atakaesoma Na Kuamini.
 
Ni Jpili nyingine wapendwa tunakumbushana maneno ya Mungu maneno ya Mungu yanatwambia kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa ebu twendeni makanisani tukamwabudu Mungu alie hai Mungu alieziumba mbingu na nchi tujifunze kusamehe na kutubu madhambi yetu, maandiko yanatwambia yeyote asiesamehe hatasamehewa na baba yangu, nikutakien jpili njema.

Amen Ndugu. Ila na Maisha Yetu Yawe ni Maisha Yenye Yenye Kumzalia Mungu Matunda.

Maana Kuna Wengine Ibada Hawakosi Ila Matendo Yao Hayaendani Na Utakatifu.

Ni lazima Tujikane Nafsi Zetu Na Matendo Yetu, Ili tumpate Kristo Kama Mtume Paulo Alivyo Sema - Naya Esabu Mambo Yote Kama Mavi. ili Nimpate Kristo.
 
Wanadamu Tuliumbwa Tumwabudu Mungu,na Kumtegemea Yeye.
Lakini Shetani Kwa Hila Ameinua Waganga Ili Kugeuza Akili Zetu Na Kumtegemea Yeye.

Ninawaombea Mungu Awape Neema Ya Wokovu Ktk Kumjua Yeye Kwa Jina La Yesu Kristo
 
Kuna umuhim wa kuwekewa jukwaa lenu wakristo ili mzidi kuhamasishana kwenda kanisani.
 
Kuna umuhim wa kuwekewa jukwaa lenu wakristo ili mzidi kuhamasishana kwenda kanisani.

Injili inahubiriwa mahara popote ndugu na ni vizuri zaid ukahubiri mahara palipo na watu wa aina tofauti kama hapa na huu ni upendo moja wapo je? tukiwabagua nyinyi msio wakristo twafanya jambo jema?
 
Ubarkiwe ila tungejumuika Jana jmoc yaan sabato ingenoga.

siku zote ni siku za bwana na sabato ya kweli ni yesu kristo yeye anasema njooni kwangu nyinyi msumbukao na wenye kulemewa na mzigo wa dhambi nami nitawapumzisha, kwahiyo ili upate pumziko ni kwamwamini yeye, kwahiyo mimi hata ukiniita jmos, ijumaa nitakuja ila tu je? tunamwabudu yeye aliekubali kubeba dhambi zetu na kufuata maagizo yake?
 
Amen Ndugu. Ila na Maisha Yetu Yawe ni Maisha Yenye Yenye Kumzalia Mungu Matunda.

Maana Kuna Wengine Ibada Hawakosi Ila Matendo Yao Hayaendani Na Utakatifu.

Ni lazima Tujikane Nafsi Zetu Na Matendo Yetu, Ili tumpate Kristo Kama Mtume Paulo Alivyo Sema - Naya Esabu Mambo Yote Kama Mavi. ili Nimpate Kristo.

amina ndugu ubarikiwe kwa ushauri wako mzuri
 
nimechelewa kuuona uzi... ningeenda leo!!!

niseme tu neno moja kwako dada kwamba haujalewa makanisa mengi yanaibada tatu kwa wiki lakini pia kama umetingwa na kazi jipange kwa jpili ijayo na Mungu Akutangulie Katika Hili
 
Back
Top Bottom