Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

e09c2c6c1f2ad20cf0679a24125970f1.jpg



Kidogo napata shida ktk suala la familia ya Mh. Nape 'Mosses' Nnauye.

Kwanza kabisa hili jina la Mosses huwa halitumiwi na waislamu, waislamu hutumia Mussa, lkn pia hapa ktk kumbukumbu ya mzee Nnauye jina la Nape halipo.

Pia kulikuwa na tetesi kuhusu originality ya Nape cyo mzee Nauye sasa cjui km kuna ukweli au laa.


We unatakaje???

Fanya kazi achana na maisha ya wengine Fanya yako
 
Nape ni Mtoto wa Moses!

Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.

Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!

Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida

Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.

Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache

Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda

Hayati Wakili Msomi Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda

Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally

Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Mkuu una historia yakutosha tuu na hii familia asante kwa maelezo yako, nimepata kitu, huyu jamaa namkubali sana
 
Pohamba hujaacha kitu kuhusu Nape, Mzee Nnauye, familia yao hadi mizengwe ya akina Mzee Makamba ya kujaribu kum-discredit Nape pale alipoanza kuwachana vigogo wa CCM; hususani Edward Lowassa na Emmanuel Nchimbi enzi zile akiwa UVCCM!

Nakumbuka watu tulivyoshituka baada ya kumsikia Mzee Makamba akisema Nape si mtoto wa Mzee Nnauye wakati ni Mzee Makamba huyo huyo hapo kabla aliwahi kuishi na Nape akiwa mdogo kwa kofia ya urafiki wake na Mzee Nnauye!!

Wallah nakuambia, siku ile ndipo nilikuja kuamini maneno ya watu kwamba Siasa ni Mchezo Mchafu!!!
 
Nape ni Mtoto wa Moses!

Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.

Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!

Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida

Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.

Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache

Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda

Hayati Wakili Msomi Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda

Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally

Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Kumbe mzee mohamed saidi yupo sahihi.
 
Pohamba hujaacha kitu kuhusu Nape, Mzee Nnauye, familia yao hadi mizengwe ya akina Mzee Makamba ya kujaribu kum-discredit Nape pale alipoanza kuwachana vigogo wa CCM; hususani Edward Lowassa na Emmanuel Nchimbi enzi zile akiwa UVCCM!

Nakumbuka watu tulivyoshituka baada ya kumsikia Mzee Makamba akisema Nape si mtoto wa Mzee Nnauye wakati ni Mzee Makamba huyo huyo hapo kabla aliwahi kuishi na Nape akiwa mdogo kwa kofia ya urafiki wake na Mzee Nnauye!!

Wallah nakuambia, siku ile ndipo nilikuja kuamini maneno ya watu kwamba Siasa ni Mchezo Mchafu!!!
Very sad
 
Nape ni mtoto wa baba yangu mkubwa.
Ambaye ni mwalimu mstaafu sasa.
Anaishi gongo la mboto huko.
As far as I know Nape ni mkristo na mgoni.
Ukoo wao ni akina HAULE.
Baba yake anaitwa Peter Haule.
dah! wewe utakuwa katibu wa itikadi , uenezi na ushirikishwaji wa umma wa sekretarieti ya halmashauri kuu ya chama
 
Kumbe hili la kuficha majina ilikuwa fasheni enzi hizo,
ukiitwa abdul hamid mwakalindile inabidi ujiite Abel mwakalindile ili usome ama upate kazi
 
Back
Top Bottom