Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,232
- 8,780
Taifa Stars
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
Hapa Rais Jafar el Niameiri wa Sudan akisalimiana na Omar
Zimbwe huku Mohamed Chuma (kushoto) na nahodha
Abdulrahmani wakishuhudia. Nyuma yao ni Kitwana Manara 'popat'
na Abdallah King Kibaden Mputa.
Walicheza vifua wazi na Sudan baada ya kukosekana jezi.
Mwalimu Nyerere aliyehudhuria mechi hii na mgeni wake hakuonekana tena mpirani toka siku hiyo....
[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
Hapa Rais Jafar el Niameiri wa Sudan akisalimiana na Omar
Zimbwe huku Mohamed Chuma (kushoto) na nahodha
Abdulrahmani wakishuhudia. Nyuma yao ni Kitwana Manara 'popat'
na Abdallah King Kibaden Mputa.
Walicheza vifua wazi na Sudan baada ya kukosekana jezi.
Mwalimu Nyerere aliyehudhuria mechi hii na mgeni wake hakuonekana tena mpirani toka siku hiyo....
[/FONT]