Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Mrina ni papuchi tu watu hawataki mazoeya alafu bei cheeKwa sisi wenyeji wa arusha kukuaa mrina ni dalili ya kuwa mgeni ,nikama mjanja wadar asivyoweza kwenda uwanja wa fisi kule ,ukija arusha unataka mademu classic nenda ,double tout (njiro) ,the don,kokoliko ,kama pesa iko unataka kukutana na mademu wenye pesa yao nenda the east africa jirani na mkuu wa mkoa ,unakutana na manzi ya kimeru kaliii inarasta ndefu chini imevaa buti nje imepaki pick up lazima ukae
View attachment 1063208