Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,621
- 46,267
Hii ndege moja bei yake kwa sasa ni dolla za kimarekani billion 2 na ushee! Kwa bajeti ya sasa ya bongo tukinunua 20 tu tunafilisika kabisa. Ilianza kutengenezwa tangu mwaka 1987 na kampuni binafsi ya Northrop Grumman ya Marekani.
Ilitengenezwa mahususi na US kuepuka kuonekana katika rada za USSR wakati wa vita baridi na lengo lake kuu katika kuboreshwa limeendelea kuwa hilo hilo la kuweza kupenya anga ya adui yoyote duniani bila kuonekana katika rada.
Sifa zake ni pamoja
1. Kutoonekana katika rada na pia mifumo ya kuzuia makombora(Stealth).
2. Kubeba silaha za makombora ya nuclear na yasiyo ya nuclear ya kiwango kikubwa.
3. Kwenda umbali wa kuizunguka dunia inahitaji kuongezwa mafuta mara moja tu katikati ya safari.
Inaongozwa na marubani wawili.
Ni mojawapo ya ndege ambazo adui na wapinzani wa Marekani wanazitazama kwa jicho la ziada na tahadhari kubwa.
Ilitengenezwa mahususi na US kuepuka kuonekana katika rada za USSR wakati wa vita baridi na lengo lake kuu katika kuboreshwa limeendelea kuwa hilo hilo la kuweza kupenya anga ya adui yoyote duniani bila kuonekana katika rada.
Sifa zake ni pamoja
1. Kutoonekana katika rada na pia mifumo ya kuzuia makombora(Stealth).
2. Kubeba silaha za makombora ya nuclear na yasiyo ya nuclear ya kiwango kikubwa.
3. Kwenda umbali wa kuizunguka dunia inahitaji kuongezwa mafuta mara moja tu katikati ya safari.
Inaongozwa na marubani wawili.
Ni mojawapo ya ndege ambazo adui na wapinzani wa Marekani wanazitazama kwa jicho la ziada na tahadhari kubwa.