Kumbukizi: Peugeot 504.. Chuma cha pua. Chombo ya fundi

Kumbukizi: Peugeot 504.. Chuma cha pua. Chombo ya fundi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Historia ya Peugeot nchini Tanzania, na kwa hakika Afrika, imefungamana sana na model maarufu ya 504, ambayo ilipata umaarufu mkubwa na kupata jina la utani la "Malkia wa Afrika" kutokana na kutegemewa sana nakuhimili changamoto za barabara za Kiafrika na kutumika kwenye hafla za mikutano mbali mbali ya kitaifa na kimaifa.

Peugeot 504, inayojulikana kwa uimara wake, ilipata umaarufu zaidi barani Afrika, ikiwamo Tanzania, kutokana na uwezo wake wa kuhimili maeneo yenye changamoto na mazingira magumu
Hapa Tanzania mpaka leo makutano ya barabara ya Alhasani Mwinyi na Ohio kuna jengo maarufu la Peugeot house
1743270584725.jpg
 
Historia ya Peugeot nchini Tanzania, na kwa hakika Afrika, imefungamana sana na model maarufu ya 504, ambayo ilipata umaarufu mkubwa na kupata jina la utani la "Malkia wa Afrika" kutokana na kutegemewa sana nakuhimili changamoto za barabara za Kiafrika na kutumika kwenye hafla za mikutano mbali mbali ya kitaifa na kimaifa.

Peugeot 504, inayojulikana kwa uimara wake, ilipata umaarufu zaidi barani Afrika, ikiwamo Tanzania, kutokana na uwezo wake wa kuhimili maeneo yenye changamoto na mazingira magumu
Hapa Tanzania mpaka leo makutano ya barabara ya Alhasani Mwinyi na Ohio kuna jengo maarufu la Peugeot houseView attachment 3287244
Umenikumbusha mbali sana,baba mkwe alikuwa nayo,nilimpelekea mwanangu Usiku hospital!,Duuh Mshana jr ni noma Wewe!
 
Back
Top Bottom