Kumbukeni ni KIGOGO sio MGOGO

Kumbukeni ni KIGOGO sio MGOGO

Ni uoga tu wa kipumbavu! Mm naweza hata kuweka jina langu na namba yangu ya simu kwenye profile na bado nisifanywe kitu chochote kile,

Shida ya watu wa hapa hmna hoja ya maana zaidi ya kutukanana na kuita a majina ya ajabu ajabu, alafu eti mnatafutwa?
 
umenena vyema ila wengi pia hawajui kuwa internet providers na free wi fi yaweza kuwa chanzo piacha taarifa zako kudukuliwa
 
umenena vyema ila wengi pia hawajui kuwa internet providers na free wi fi yaweza kuwa chanzo piacha taarifa zako kudukuliwa
Tech imepanuka na kukua mno... Mtu anaweza kukutungua akiwa mbali kabisa
 
.
tapatalk_1562676015976.jpeg
 
Waanacha kazi za maana wanakalia kufuatilia watu kwenye mitadao, serikali ya hovyo sana hii
Mkuu hao watu hawana kazi za maana yani kukufuatiloa wewe ndo kazi yao ya maana hahaha yani wale jamaa kazi zao ukizijua unawadharau sana...
 
CCM ni wajinga sana wanafanya michezo ya kuchezea akili za watanzania
 
[QUOTE="All in all Numbisa umekuwa rafiki mwema siku zote... Naupokea ushauri wako japo maamuzi yatakuwa yangu[/QUOTE]





Nakuelewaga sana we mwamba. Hutumiagi nguvu wala hisia. Akili always
 
Humu ni sisi wenyewe kati yetu tuna imformers ama tuna watu walio tayari kuuza taarifa zetu kwa wengine.

Si kila mmoja anayetaka kukutana na wewe ni mwema kwako.

Si kila anayekuomba mawasiliano yako ni mwema kwako.....! Si kila anayekuomba msaada ni kweli ana shida.

Sometimes ni njia tu ya kukufahamu ili siku wakikuhitaji wakupate bila gharama, bila usumbufu.


Umongea point kubwa na makini sana... tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
[QUOTE="All in all Numbisa umekuwa rafiki mwema siku zote... Naupokea ushauri wako japo maamuzi yatakuwa yangu





Nakuelewaga sana we mwamba. Hutumiagi nguvu wala hisia. Akili always[/QUOTE][emoji848][emoji123][emoji109]
 
Humu ni sisi wenyewe kati yetu tuna imformers ama tuna watu walio tayari kuuza taarifa zetu kwa wengine.

Si kila mmoja anayetaka kukutana na wewe ni mwema kwako.

Si kila anayekuomba mawasiliano yako ni mwema kwako.....! Si kila anayekuomba msaada ni kweli ana shida.

Sometimes ni njia tu ya kukufahamu ili siku wakikuhitaji wakupate bila gharama, bila usumbufu.


Umongea point kubwa na makini sana... tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
[emoji123][emoji109][emoji115][emoji115][emoji120][emoji120][emoji120]
 
KIGOGO katucheza shere... Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa taarifa zetu JF haziko salama... Hapa kuna mtiririko wa matukio unaoacha shaka nyingi

. Kutekwa yule bwana mkenya
. Kutekwa msaidizi wa Membe
. Press conference ya musiba
. Tuhuma za kigogo Twitter
. Kifo cha ghafla cha Glory
Je kuna uhusiano gani kati ya Kutekwa yule mkenya na Kutekwa msaidizi wa membe?

Je, kwanini swala hili lilivaliwa njuga vilivyo na bwana kigogo? Kuna maslahi yoyote kwenye hili?
. Je imekuwaje safari hii watu wamuamini musiba?

Kigogo katucheza shere kwa maslahi anayojua yeye na kwa faida yake... Kigogo hana account moja na inawezekana kabisa kigogo si mmoja.

Musiba hajui chochote kuhusu kigogo. Kakurupuka kama kawaida yake. Kigogo kaamua kututisha ili kubadili upepo.

Kigogo alikuwa hajui chochote kuhusu kudukuliwa bandia mpaka musiba alipotoa habari zake ama inawezakana kabisa katengeneza habari bandia na kumpenyezea musiba

Kigogo bado taarifa zake ziko salama kabisa na analitambua hilo la sivyo asingekuwa hapo alipo kwasasa. Musiba huwa ana tuhuma bila ithibati.

Taarifa za kigogo alizotoa zingekuwa kweli wala zisingemfikia yeye bali mamlaka zenye kuchukua hatua

Musiba anamtaja marehemu Groly kama mtu aliyekuwa akitumika na wanamtandao wenye nia ovu. Tafsiri yake ninini hapa.

Kashtukiwa kaondoshwa...! Lakini hao wanamtandao ni akina nani? Kwanini wamtumie Groly?

Je, kifo chake kina uhusiano na ushiriki wake kwenye huo mtandao? Report ya kifo chake inasemaje?
Humu tunadukuana wenyewe kwa wenyewe,

Humu ni sisi wenyewe kati yetu tuna imformers ama tuna watu walio tayari kuuza taarifa zetu kwa wengine.

Si kila mmoja anayetaka kukutana na wewe ni mwema kwako.

Si kila anayekuomba mawasiliano yako ni mwema kwako.....! Si kila anayekuomba msaada ni kweli ana shida.

Sometimes ni njia tu ya kukufahamu ili siku wakikuhitaji wakupate bila gharama, bila usumbufu.

Unayekutana naye mkafahamiana na kupeana mawasiliano sio ambaye atakuja kukunyakua ni mtu mwingine tofauti kabisa. Wakati mwingine tofauti kabisa na sehemu nyingine tofauti kabisa.

Melo katoa ufafanuzi mzuri kwenye taarifa yake. Kuna taarifa zetu huwa tunaziweka wazi kwenye profile zetu bila sisi wenyewe kufahamu.. Lakini pia kuna wakati tunatumia password dhaifu mno inayotabirika kama mwaka wa kuzaliwa. No ya simu nknk

Lakini pia kuna mada chokonozi huanzishwa hapa ili kupata undani wa watu kwenye mijadala ya mada husika.

Kuna mada huwa tunazianzisha sisi wenyewe hasa jukwaa la matangazo na kusema sisi ni nani mahali tulipo na hata kuweka mawasiliano yetu

Chukueni TAHADHARI kubwa! Makinikeni kila taarifa unayoweka hapa kuna kitengo kinaifanyia kazi kwa undani mno.

Makinikeni mnapokuwa public na matumizi ya JF. Si mara moja watu kuleta taarifa hapa za kuwafahamu baadhi ya member kupitia sehemu za starehe kwenye public transport nk

Utambulisho bandia unaoweka hapa hata kama ni ID zaidi ya moja zinafuatiliwa na kuweza kuzifanyia linking kwa kuangalia tu mode of writing yako.

Tunaweza kumlaumu Melo kumbe tatizo liko kwetu wenyewe. Huyu kigogo si mgogo ombaomba. Anajua anachofanya tofauti na hapo tayari yuko mikono salama pengine peke yake na [emoji216]
KAMA MKURUGENZI WA IDARA YA......MKOA WA....... NIONDOE HOFU KWA WATANZANIA KWAMBA KWA SASA TUKO SEHEMU NZURI KATIKA KUMFATILIA KIBARAKA WA MABEBERU KWA JINA LA KIGOGO 😎 😎 😎 😎 😎
 
ISHU ya ulimboka Kigogo kuna mahali alichangia hapa JF kuwa kaka yake alikuwa best man wa Ulimboka... Hapo alitoa clue moja muhimu sana hakujua makaburi yatakuja kufukuliwa... Ngoja niutafute ule uzi

Jr[emoji769]
ITAKUWA NI VYEMA KUTUSAIDIA
 
siku moja niliweka uzi ulioambatana na video , kuna jamaa akaniomba kupitia PM kwamba nimtumie ile video kwa whatsapp na akaacha namba yake ya simu , nilimshauri tu machache na nikamwambia aidownload ile video kwenye uzi halafu atapata anachokitaka
 
Back
Top Bottom