Kumbukeni ni KIGOGO sio MGOGO

Kumbukeni ni KIGOGO sio MGOGO

Kila trending story unaitolea ufafanuzi. Sometimes ndugu uwe unajiweka kando kuna mengine unajipunguzia credits
[emoji853][emoji853][emoji853][emoji19][emoji19][emoji19][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] zinazo trend ni nyingi sana... Ila mimi nimezungumzia hii tu... Numbisa napenda kuandika na nilianza kuandika zamani... Na pengine kuna kukereka fulani maandishi yangu yanapoonekana hapa kila mara
Nadhani hizi credits zipo tu... Kwahiyo kama kuandika kutanipunguzia hizo credits acha tu zipungue kwakuwa haziniongezei japo ndururu

All in all Numbisa umekuwa rafiki mwema siku zote... Naupokea ushauri wako japo maamuzi yatakuwa yangu
 
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Ukichungulia kwa makini unaweza kuona kati ya Kigogo na Musiba Kuna kitu kimejificha na wanakijua wao. Kwa uwezo wake aliouonyesha wa kudukua ni ngumu kuami kuwa:-
- Musiba hajui Kama kuna undugu au la kati ya John na Emmanuel.
- Musiba hajui John ni wapi anafanya kazi kwa Sasa
- Kubandika picha ambayo siyo ya John akituaminisha kuwa ndiyo yeye, wakati mtu huyo inasenekana ni ndugu katika familia ya Nchimbi
 
Binafsi kati ya vitu ambavyo naona ni miongoni mwa vitu vya kujianika wazi na ukanaswa pasi na shaka ni... Pale mtu anapoanzisha hadithi ama liwaya, kisha ikaishia njiani. Baada ya hapo inauzwa na ili uipate inatakiwa kuilipia na ukatumiwa kwa njia ya WhatsApp. Hapa ni kujiachia kuliko pitiliza, huwa nashindwa kuelewa inakuwaje mtu akangia mtegoni kizembe namna hii.. Hapa lazima unaswe tu.. Trust no one in here..
 
Sarakasi za kutaka ku boycott JF. Well, huko twiraa ndio kubaya Zaidi maana kuna verification kibao. Kupanga ni kuchagua!
 
halafu sijui kwanini wanagombana hawa,kigogo na huyo mwingine wa ccm,nani,aaah musiba,kwanza ni vijana,halafu ni agemet,ukiangalia account zao za jf wote wamezaliwa 1976
 
hivi msiba yeye hafai kupeleka taarifa zake polisi ?
 
Kwa mawazo yangu ya kimuvi muvi. Kigogo sio mtu mmoja. Hata 007 james bond hakuwa alone. Nadhani ni kundi kubwaaaaa!! Ndo maana taarifa wanazipata kwa haraka maana circle yao kubwa . Angekuwa ni mtu mmoja kuna taarifa nyingine asingezipata
 
Back
Top Bottom