#COVID19 Kumbe Zanzibar imepata Tsh 200 bilioni tu katika ule mkopo wa COVID tofauti na inavyoelezwa na Wanasiasa uchwara!

Ngoja nikupe hesabu.

Jumla ya mkopo 1.3trillioni

Hizi ni sawa na 1,300billioni
Nusu ya hizi imetumika kulipa mkopo

Unabaki na bilioni 650
Toa bilioni 200 za zenji unabaki na bilioni 450.

Kwa hiyo zanzibar wamepata bilioni 200 na ushee.
Bara tumepata bilioni kama 400 hivi.
Hapa ni sawa kweli?
Ni sawa.

Zanzibar ni nchi kamili!
 
Mgawanyo wa mikopo mingine ambayo ilichukuliwa na JMT ilikuwaje?
Je! Kulikuwa na uwazi wowote katika kufanya hivyo?

Endapo kama upande Tanganyika umenufaika mno kwa kipindi cha miaka iendayo 58 ya uwepo wa JMT, Zanzibar nayo inapaswa kuanza kufanya hivyo sasa. Kwani tulipoingia kwenye huu muungano hatukujua kuwa Zanzibar ina watu wachache?

Bila kujali ina watu wangapi, Zanzibar ina hadhi yake ya asili ya kuwa nchi hata kama ipo ndani ya JMT, na pia haijawahi kupoteza hadhi yake ndani ya katiba. Ni mawazo finyu kuongelea uwiano wa mgawanyo wa mkopo husika bila ya kuangalia mgawanyo wa mikopo mingine iliyokwisha kutolewa hapo awali kwa JMT.

Hebu tufanye tathimini ya haraka haraka kuhusu jinsi nchi hizi mbili zimefaidika kwa miundombinu kupitia mikopo iliyotolewa kwa idhini ya JMT na kulifikisha deni la taifa kufikia kiasi chaTZS 75Tn.

Tanganyika wala haipo, haishi na wala haina hadhi ya kukopa yenyewe kwa jina lake. Hivyo basi mkopo wowote ule unaochukuliwa ili uinufaishe Tanzania Bara peke yake ni lazima uchukuliwe kwa jina la JMT. Zanzibar nayo kama nchi inayoishi na yenye kutambulika inaweza kukopa kwa kupitia jina lake, na pia inastahiki zake kwa kile chote kinachokopwa kwa jina la JMT.

Ndiyo maana watu wenye akili wanaona kuna haja ya kufanya mabadiliko ndani ya katiba mpya ambapo muundo wa JMT utafanyiwa mabadiliko. Kuna kila haja ya katiba kutambua uwepo wa serikali tatu ndani ya huu muungano, kwa mantiki hiyo kuna haja ya kuifufua hadhi ya nchi ya Tanganyika ndani ya muungano wetu na kutenganisha shughuli zake za serikali na iwe pia na bunge lake kama ilivyokuwa kwa Baraza la Wawakilishi kule upande wa wenzetu wa nchi ile ya Zanzibar.
Wafundishe wajinga haoo
 
Waziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dkt. Sada Mkuya amesema wamepokea dola milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.

Dkt. Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.

Mapinduzi Daima!
Huyu mvaa Madera mbaya Sana make , Mtanganyika yoyote anapohoji uhalali wa mikopo anachukia Sana,Kwani Ndungai alikuwa anakosa Gani kuhoja 1.3 tillion??
 
Hiyo pesa ni nyingi sana

Dar es Salaam ina watu wengi kuliko Zanzibar lakini hawajapewa hicho kiasi
Tuwe fair kidogo. Dar Es Salaam si Nchi, Zanzibar ni nchi hivyo mgao huo unatoka na privilege ya semi-autonomy iliyonayp!
 
Majitu yana chuki Sana na Samia,vinatafutwa visingizio vya kijinga mara anateua Waislam,mara anapendelea Zanzibar,mara Urais umemshinda,saiz wako na single mpya mara ana homa ya 2025 hajiamini ,mara serikali ya mpito.

Yaani yote haya ni wivu kwani ana wa outperform kwenye kila sekta
Hawa watu ni wajinga na Wana chuki Sana na Wazanzibar kila uchaguz wanavamia visiwa wanaua na kubaka vile watakavyo
 
Hiyo ni 16% kwa Idadi ya Watanzania wote, ambao ni chini ya 4%.

Of course SSH anasimamia maslahi ya Zanzibar. Hakuna jipya hapo.

Ndio maana unaweza kumfukuza yoyote anayehoji na kujali maslahi ya Watanganyika. Watanzania wote milioni 60.
Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano kwa hiyo ni sawa. Hivi SSH asingejali kwao hata mimi ningemshangaa. Lakini pia kwa mtu makini, Ndugai hajafurushwa kwa kuhoji mkopo pekee. No. Ni accumulation ya mambo mengi aliyoyafanya chini kwa chini na wazi wazi kuutweza uanamke wa Rais wa Tanzania na urais tangu JPM afariki. Amejitahidi kuonyesha dunia kwamba Rais SSH si lolote si chochte. Amelelewa na mwisho akaingia 18 za mama. Na mama & co wamempokea mithili ya mwizi aliyeruka ukuta akakutana na German shepherd. Upande mwingine, hakuna mwenye huruma ya dhati kwa Ndugai kwa sababu ameonekana ni mtu mwonevu, mnafiki, muuaji, mdhalilishaji, mwongo, mungu mtu, mwenye majivuno, mbadhirifu wa pesa za umma na madaraka. Wanaomtetea wana base kwenye hoja za kisheria, kiutaratibu na kujionyesha kwamba wapo na wanaweza kutetea. Salmin Amour alishawahi kusema chezea ndevu usichezee dola- na baadae yeye mwenyewe alichezea dola na kilichompata hatasau maisha yake. Nenda salama Ndugai na wengine mjifunze. Rais wa nchi hachezewi. Labda mbadili hiyo Katiba yenu mbovu!
 
Wachukue tu hiyo hadhi yao huko walikoitupa. Tumechoka kubeba rumbesa. Mtu kanchi kana watu maximum 2M kanakula bilioni 200 wakati Dar imekula bilioni 3 yenye watu milioni 7! Huu ni ujinga mwingine kutoka huko kwenye lichama lenye vichwa maji.
Mbona Chadema ina wanachama laki 7 inapata ruzuku tsh 170 milioni.

CCM ina wanachama milioni 29 inapata ruzuku tsh 1 bilioni.

Kuna uwiano hapo?
 
Kama ni hadhi kwanini wasifanye nusu kwa nusu tuelewe hyo hadhi.

Zanzibar ni kama popo mara ni ndege mara nimnyama.

Kopeni wenyewe mlipe wenyewe acheni kuitumian tanganyika kamamdhamini.

na mlipaji wenu.
Katiba ndio inayozuia.

Wazenji zaidi ya mwaka wa 30 huu wanapigania hiyo haki ya kukopa bila ya udhamini wa Tanganyika kwa koti la Muungano na hawajaipata.

Watu mnawafunga mikono na miguu halafu mnawaambia waogelee.

Kumbuka suala la OIC. Lililozaa G55, hatimae Waziri Mkuu John Samwel Malecela na Katibu Mkuu wa Chama Dola Horace Kolimba kupoteza nyadhifa zao.
 
Katiba ndio inayozuia.

Wazenji zaidi ya mwaka wa 30 huu wanapigania hiyo haki ya kukopa bila ya udhamini wa Tanganyika kwa koti la Muungano na hawajaipata.

Watu mnawafunga mikono na miguu halafu mnawaambia waogelee.

Kumbuka suala la OIC. Lililozaa G55, hatimae Waziri Mkuu John Samwel Malecela na Katibu Mkuu wa Chama Dola Horace Kolimba kupoteza nyadhifa zao.
Mama si awape wanachotaka koti limetubana watanganyika tullivue.
 
Mkuu wala usipate taabu. Kama una ubavu badilisha Katiba. Kwa mujibu wa katiba ili Zanzibar ikope lazima idhini ya
JMT itolewe, na hiyo ndio moja ya kero za muungano; yaani Zanzibar isubiri ihsani ya JMT katika kujiletea maendeleo. Huo si ndio uchawi wenyewe? Na bado kuna watu wanalalamika Zanzibar inapendelewa.
Uchawi si wanabunge lao linakatiba yao au?
Walitoa mafuta kwenye muungano wameshindwa kutoa mikopo kwenye muungano?
 
Katiba ndio inayozuia.

Wazenji zaidi ya mwaka wa 30 huu wanapigania hiyo haki ya kukopa bila ya udhamini wa Tanganyika kwa koti la Muungano na hawajaipata.

Watu mnawafunga mikono na miguu halafu mnawaambia waogelee.

Kumbuka suala la OIC. Lililozaa G55, hatimae Waziri Mkuu John Samwel Malecela na Katibu Mkuu wa Chama Dola Horace Kolimba kupoteza nyadhifa zao.
Duh....!
 
Uchawi si wanabunge lao linakatiba yao au?
Walitoa mafuta kwenye muungano wameshindwa kutoa mikopo kwenye muungano?
Ndio uchawi wenyewe huo. Unatokana na roho mbaya eti kuidhibiti Zanzibar, kwa maneno ya Lukuvi na wenziwe kule kanisani. Afu mimi nilidhani kule sio mahala pa siasa; au ndo dini yenyewe?. Ila Zanzibar itaendelea kwa uwezo wa Mungu.
 
Kwa hiyo kumbe ukabila ndio unawasumbua? We ni kenge kweli kweli,mnufaika wa Muungano ni anayemlalamikia sasa.

Samia kaza hivyo hivyo shenzi nyie.Afu usikariri sio kila anaemuunga mkono ni Mzanzibar,mimi kwetu Njombe upumbavu wenu wa ukabila alioletaga yule mpumbavu marehemu usiniletee na mimi.

Hata saizi mkuu wa majeshi nk kwani ni Mzanzibar? Unajifariji mambo ya kipumbavu.
Usitoke povu wewe shoga wa kizenji nilikuhisi siku nyingi kuwa weye ni mtoto mchele mchele yaheee wa kizenji ,au hao mabasha wa kizungu wanao kuja kwenu ndiyo wanawapa kichwa
 
Hawa watu ni wajinga na Wana chuki Sana na Wazanzibar kila uchaguz wanavamia visiwa wanaua na kubaka vile watakavyo
Wazenji mmecharuka wabara mnatuchukia ila mabasha ya kizungu mnayapenda huko kwenu sasa salama yenu ni mama kuvunja muungano tu kama akiondoka bila ya kuvunja muungano mapema au kuweka serikali 3 basi itakuwa imekula kwenyu tutawakomesha
 
Back
Top Bottom