#COVID19 Kumbe Zanzibar imepata Tsh 200 bilioni tu katika ule mkopo wa COVID tofauti na inavyoelezwa na Wanasiasa uchwara!

Job Ndugai alikuepo na haja ya kuona mkopo hauna Faida yeyote Ile kwasababu pesa nyingi zimepelekwa Zanzibar. Kwanini wapinzani wa sasa wanashindwa kuwa jasiri kama marehemu Mch Christopher Mtikila alivyokuwa anazungumzia haya masuala ya jinsi Tanganyika inavyoinufaisha Zanzibar

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Huu ni mtego unaokwepwa na Wanasiasa hasa wa Upinzani hata wa ndani ya CCM, wanategeana kulizungumzia hili ila wakati utafika watasema tu kama walivyosema Chato.. Hata ndugai alifumba fumba tu ila point ilikua hiyo
 
Very Unproportional. And by the way who is going to repay that..... !!??
 
Wazanzibari kupata bilioni 200 kwenye mkopo wa corona ni sahihi kabisa. Wamechukulia uwiano wa watu kati ya bara na visiwani. Cha maana tu ni kwamba hizo bilioni 200 na riba yake juu zije zilipwe na wazanzibari. Hapo ndipo pa kukaa macho!! Mzigo wa kulipa deni usiwe wa bara peke yake.
Kwa maneno mengine Zanzibar ndio waliokopa bilioni 200. Hata wakitaka kuongeza ni wao tu, si watalipa wao, tatizo liko wapi??
 
Uwiano wa watu milioni 60 kwa bilioni 600 halafu uwiano wa watu milioni 1.7 wapewa bilioni 230,

Zilizobaki bilioni 500 zililipwa kutuliza makali ya madeni ambayo yameanza kumachure

Tulizeni nyodo sharti ya kuolewa ni kulala bila chup*
 
Uwiano wa watu milioni 60 kwa bilioni 600 halafu uwiano wa watu milioni 1.7 wapewa bilioni 230,

Zilizobaki bilioni 500 zililipwa kutuliza makali ya madeni ambayo yameanza kumachure

Tulizeni nyodo sharti ya kuolewa ni kulala bila chup*
Ujumbe wako ungekuwa mzuri zaidi kama ungetulia na kupangilia.Kwa sababu nimekunywa chibuku,nimekuelewa.
 
Tena kama wangewekeza ununuzi wa gold na kuweka
Mpaka anamaliza mda na nusu ya dhahabu yetu iko bank ya znz
Sasa hapo wataanza hata kujenga daraja baharini
Yaani naiona znz kama Singapore acha nicheke kwa kejeli mie
 
midomo yenu semeni wala hamlipii vat wala kodi.
ila madam ndio prezdent.
kele ya chura haizuii tembo kunywa maji.
halafu nyonyo mwenyewe
 
Back
Top Bottom