SOLDIER GENIUS
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 358
- 242
Jimena usikurupuke kila jambo sio jipu..tafakari kwanzaUnasema ni uongo wakati hata maana hedhi hujui? We nae ni JIPU![]()
Jimena usikurupuke kila jambo sio jipu..tafakari kwanzaUnasema ni uongo wakati hata maana hedhi hujui? We nae ni JIPU![]()
Imenifurahisha sana hii, ila ni ukweli. Siku hizi kuna elimu za ajabu ajabu. Unaweza ukasikia mtu anakuambia kwamba ukiwa unakula maembe 23 kila siku yaani 6 asubuhi, 10 mchana na 7 jioni hautaugua ugonjwa wowote maishani mwako...ukiuliza unaambiwa ni utafiti wa mambo ya tiba mbadala. Siku hizi tunaambiwa kuna maji yanatibu magonjwa yote...na maji hayo yanauzwa, si maji tu kama maji...sasa hapo ndipo hata kauli yako inapopata ukweli. Tatizo ni kwamba watanzania wengi hatuna uelewa mpana wa mambo ya kawaida, kwa hiyo wajanja wanapatiemo nafasi ya kutudanganya. Wanasoma soma google na vijitabu huku na kule halafu wanakuja na mameno mengi yenye vitisho. Lengo ni ku-instil mortal fear kwa watu wengi, kisha 'wanatoa' ufumbuzi...BUSINESS!Kesho utasikia...ili mwanaume uishi maisha marefu inabidi ukikojoa uchuchumae... ukiuliza unaambiwa utafiti...
Nilikuwa namaanisha ni jipuUlimaanisha jipu?
Sasa kati yetu nani aliyekurupuka?Jimena usikurupuke kila jambo sio jipu..tafakari kwanza

Kwahiyo hiyo habari unadhani inahusiana vipi na biashara?Imenifurahisha sana hii, ila ni ukweli. Siku hizi kuna elimu za ajabu ajabu. Unaweza ukasikia mtu anakuambia kwamba ukiwa unakula maembe 23 kila siku yaani 6 asubuhi, 10 mchana na 7 jioni hautaugua ugonjwa wowote maishani mwako...ukiuliza unaambiwa ni utafiti wa mambo ya tiba mbadala. Siku hizi tunaambiwa kuna maji yanatibu magonjwa yote...na maji hayo yanauzwa, si maji tu kama maji...sasa hapo ndipo hata kauli yako inapopata ukweli. Tatizo ni kwamba watanzania wengi hatuna uelewa mpana wa mambo ya kawaida, kwa hiyo wajanja wanapatiemo nafasi ya kutudanganya. Wanasoma soma google na vijitabu huku na kule halafu wanakuja na mameno mengi yenye vitisho. Lengo ni ku-instil mortal fear kwa watu wengi, kisha 'wanatoa' ufumbuzi...BUSINESS!
nafahamu ndoyo vipi wewe unafahamu kipi..share nasiUnajua maana ya hedhi (mp) kweli?
Kinena ndo nini KI-INGLISHIAisee!!! hivi mwanaume ana kinena
Kinena ni kinini?Aisee!!! hivi mwanaume ana kinena
Watakuwa ni wanaume wa Dar hao!Wanaume pia kupata hedhi
Watakuwa ni wanaume wa Dar hao!