Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Wanasema ili usipate matatizo ya kibofu uzeeni ni vizuri ukojoe ukiwa umekaa na usiinuke mpaka umalize kabisaKesho utasikia...ili mwanaume uishi maisha marefu inabidi ukikojoa uchuchumae... ukiuliza unaambiwa utafiti...
sababu ipo...Libakie tu maana hamna sababu ya kulifungia
Kwani kuna mahali heshima imevunjwadaaah....tuheshimiane.

Mi sijaiona kabisaaasababu ipo...
Kwani kuna mahali heshima imevunjwa![]()
Kwani kuna mahali heshima imevunjwa![]()
Afu Jimena umefurahi sana.Kwani kuna mahali heshima imevunjwa![]()
Dharau kivipi mkuueeh hii dharau kubwa sana aisee

Ha ha ha lakini tutafika tuJamajamaa.... tunakoelekea sikoo kabisa
